KIKWETE huyooooooo FINLAND

ameenda kuomba pesa lakini hii mpaka lini??
 
Dah!jamaa kaamua kukaa kimya forever hii hatari
 
Acha uongo kaka sijui dada,pita maeneo ya ikulu utapata jibu kama yupo au hayupo,ila huu uongo wako usiwalishe watu.
 
Mwacheni jamani,huyo sio raisi wa TZ,ni raisi wa mambo ya nje
 
Acha uongo kaka sijui dada,pita maeneo ya ikulu utapata jibu kama yupo au hayupo,ila huu uongo wako usiwalishe watu.
Nahisi ndo tatizo la kuchagua raisi aliyetokea wizara ya mambo ya nnje!!
 
hizo tetesi tu jamaa nasikia ndio anatua dodoma hv sasa:hat:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…