<br /><br />
<br /><br />
Mbinafsi ni wewe na sio wao,pmj na mengine yote kinachotakiwa na waislam ni idhini na serikali iitambue mahakama ya kazi kama mfuatiliaji wa suala hili lilipoanza kutolewa mlisema hamlitaki cos hii sio nchin ya kiislam now mnalikubali cos serikali imejitoa kwa hili so nani mbinafsi mwanzo ulikataa kabisa na yakatolewa matamko mengi tu ya makanisa mbalimbali sasa malikubali ila mnataka serikali isihusike hapo ndio ulipo ubinafsi,wakati mnaka kwa uelewa na kumbukumbu yangu hakuna mtu alipinga mahakama ya kadhi, ilipingwa kuwekwa kwenye usimamizi wa serikali na kugharamiwa na serikali ndugu yangu. Ila sioni tatizo kuhusu fikra au tafsiri yako kwa kuwa watu hutafsiri vitu tofauti.