Kuna wananchi kweli walipigia hiki chama kura. Kitu gani kina mtoa mtanzania nyumbani kwenda kusikiliza hotuba ya Kikwete au Mkapa? Tumeendelea kusema tangu awali, wananchi hiki chama sio chenu na hamsikii mnaendelea kuwapa support kutokea kuwapa mikono na kupiga makofi. I hope now there people surrounding Kikwete, Pinda, Mwinyi na viongozi wa CCM kuwafuta machozi. Watanzania tuache kudanganywa kila mara kuna chochote kile kitaletwa na CCM Tanzania. Mabaya na Vifo vimetokea miaka mingi sasa na wiki hii tumejionea wenyewe "Jinsi Uongozi Wao Unavyofanya Kazi Kulinda Wananchi" Hakuna Credibility Yeyote ile Nawapa Serikali au chama" Kinachofuata ni uongo na wananchi kuendelea kupata shida.
Msafara wa Kikwete. Angalia Magari na Gharama Zinazotumika kwa Pesa za Wananchi. Is this Leadership?
Waziri Mwinyi Akiongoe na Jeshi. Is this Accountability? All he want is to become Fisadi Like His Father.
Wananchi Wanahama Hawajui Wanakokwenda na Hakuna Msaada Wala Leadership Toka kwa Kikwete Wala CCM. Is this OK Wakati Kikwete/Pinda Wanakaa na Kuendesha Magari ya Kifahari Nchi Maskini?
How Long We Want These Things to Continue? It's Up to Us to Change All These
Msafara wa Kikwete. Angalia Magari na Gharama Zinazotumika kwa Pesa za Wananchi. Is this Leadership?
Waziri Mwinyi Akiongoe na Jeshi. Is this Accountability? All he want is to become Fisadi Like His Father.
Wananchi Wanahama Hawajui Wanakokwenda na Hakuna Msaada Wala Leadership Toka kwa Kikwete Wala CCM. Is this OK Wakati Kikwete/Pinda Wanakaa na Kuendesha Magari ya Kifahari Nchi Maskini?
"Watanzania Taifa Linawahitaji Kuondoa Hiki Kikundi cha Mafisadi"