Katika hali isiyokuwa ya kawaida Rais kikwete amekiri kuwakopa wanchi hasa wa wilaya ya Ludewa mazao yao ya chakula ( mahindi) na kuahidi waendelee kusubiri kwani serikali haina fedha za kuweza kulipa deni hilo. Mpaka sasa serikali inadaiwa Tshs. bilioni 27 za mazao hayo. na ameahidi kulipa sh. 10 bilioni tu. Hii inadhihirisha kauli ya Mnyika ya mwezi april ya udhaifu wa Rais Kikwete kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.