Kikwete anavyoonekana jamii za kimataifa

Kikwete anavyoonekana jamii za kimataifa

GODLOVEME

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,644
Reaction score
498
Richard Brunwick
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper. Having worked with the UNDP in that country for 8 years, I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is. His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them. British TAX payers must stop funding this man's corruptin and foreign trips. His human rights record is horrible. Mr. Kikwete had no business of going to Davos to ask for foreign aid. Already his country is the world third leading foreign Aid dependant nation. He should be embarassed to say to the world that people are poor. His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.That is hiw own problem, Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips. He should make good use of his country's wealth. Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock. I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips. Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania. We must question the nations that welcomes this "Joker's" request for AID. He needs to be on a "no-fly" list so he can be serious. Hopefully the billionaires questions what he has done with the Money he has received for decades. The Arab spring should turn into the African summer and get rid of the Kikwete likes.

Linda Croucher;
This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.
Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.
I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit.
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children. we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created misery
because they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools

Alta Vista1
The issue with Tanzania president is not a British issue or a global issue. It is a Tanzania voter’s issue. They have let this man continue with corruption and impunity. Those in diplomatic circles especially in the US state department are privy of the matter and very disgust with Kikwete. He is not a serious leader and the chatter in Washington about his endless lavish foreign trips is not flattering. He is an embarrasment to his country and african leaders
He has literally sold his country and done nothing to combat corruption. Nepotism has risen; those in power ensures they slot in their children in sensitive positions before they retire. Currently, 15% of Tanzania government leadership is made of sons and daughters of those that once ruled or still in power.
I see Tanzania in the line of Tunisia and Egypt very soon, and won’t lose sleep if this man is ousted, we just don’t want him in America. UK, you can have him. Our cabinet secretaries take subway, their ministers in expensive land cruisers. Not with our tax dollars. I learnt through secret channels that one of his associates transported a Range rover in a cargo plane to Tanzania
Then go around and say “Hand to Mouth”???????? Comment from a whole president to his fellow world leaders? can he ask himself why???
Davos main goal is to discuss Euro crisis not African problems and this president should have known that, because at the end of the day he will be leaving bare handed.

SOURCE:
https://www.facebook.com/permalink.

Nawatakieni nyote Heri ya X-Mass! Merry Christmass to you all!
 
View attachment 214026
Richard Brunwick
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper. Having worked with the UNDP in that country for 8 years, I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is. His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them. British TAX payers must stop funding this man's corruptin and foreign trips. His human rights record is horrible. Mr. Kikwete had no business of going to Davos to ask for foreign aid. Already his country is the world third leading foreign Aid dependant nation. He should be embarassed to say to the world that people are poor. His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.That is hiw own problem, Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips. He should make good use of his country's wealth. Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock. I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips. Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania. We must question the nations that welcomes this "Joker's" request for AID. He needs to be on a "no-fly" list so he can be serious. Hopefully the billionaires questions what he has done with the Money he has received for decades. The Arab spring should turn into the African summer and get rid of the Kikwete likes.

Linda Croucher;
This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.
Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.
I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit.
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children. we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created misery
because they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools

Alta Vista1
The issue with Tanzania president is not a British issue or a global issue. It is a Tanzania voter's issue. They have let this man continue with corruption and impunity. Those in diplomatic circles especially in the US state department are privy of the matter and very disgust with Kikwete. He is not a serious leader and the chatter in Washington about his endless lavish foreign trips is not flattering. He is an embarrasment to his country and african leaders
He has literally sold his country and done nothing to combat corruption. Nepotism has risen; those in power ensures they slot in their children in sensitive positions before they retire. Currently, 15% of Tanzania government leadership is made of sons and daughters of those that once ruled or still in power.
I see Tanzania in the line of Tunisia and Egypt very soon, and won't lose sleep if this man is ousted, we just don't want him in America. UK, you can have him. Our cabinet secretaries take subway, their ministers in expensive land cruisers. Not with our tax dollars. I learnt through secret channels that one of his associates transported a Range rover in a cargo plane to Tanzania
Then go around and say "Hand to Mouth"???????? Comment from a whole president to his fellow world leaders? can he ask himself why???
Davos main goal is to discuss Euro crisis not African problems and this president should have known that, because at the end of the day he will be leaving bare handed.

SOURCE:
https://www.facebook.com/permalink.

Nawatakieni nyote Heri ya X-Mass! Merry Christmass to you all!
 
Tatizo uongozi mbovu
Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Tarcisius Ngalalekumtwa amesema umaskini unaolikabili Taifa kwa sasa unatokana na sera mbovu za nchi pamoja na uongozi mbovu.

Ngalalekumtwa ambaye pia ni Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), alitoa kauli hiyo katika ibada ya Krismasi huku akisisitiza kuwa Taifa la Tanzania linao utajiri mkubwa unaoweza kuwasaidia wananchi wake kuishi bila ya matatizo.

"Tanzania siyo nchi maskini, bali kinachosababisha iwe hivyo ni sera mbovu zilizopo na uongozi mbovu.


  • Hivi kweli sisi hatuna mahali pa kuwahifadhi watu wetu?
  • Ardhi? (waumini wakajibu tunayo),
  • madini? (waumini wanajibu tunayo)
  • misitu? ( Waumini - tunayo),
  • mahindi? (Waumini - tunayo),

unawezaje kusema Taifa hili ni maskini?

"Mimi nimekuwa nikishangaa na hata ninyi mmesikia haya mabilioni ya fedha unayochukua mtu mmoja utakula hadi lini, umaskini tulionao unatokana na mtu mmoja kula chakula kinachoweza kuliwa na watu zaidi ya milioni moja, katika mazingira kama hayo ni lazima watu wengine wawe maskini," alisema.
 
Richard Brunwick
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper. Having worked with the UNDP in that country for 8 years, I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is. His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them. British TAX payers must stop funding this man's corruptin and foreign trips. His human rights record is horrible. Mr. Kikwete had no business of going to Davos to ask for foreign aid. Already his country is the world third leading foreign Aid dependant nation. He should be embarassed to say to the world that people are poor. His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.That is hiw own problem, Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips. He should make good use of his country's wealth. Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock. I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips. Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania. We must question the nations that welcomes this "Joker's" request for AID. He needs to be on a "no-fly" list so he can be serious. Hopefully the billionaires questions what he has done with the Money he has received for decades. The Arab spring should turn into the African summer and get rid of the Kikwete likes.

Linda Croucher;
This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.
Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.
I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit.
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children. we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created misery
because they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools

Alta Vista1
The issue with Tanzania president is not a British issue or a global issue. It is a Tanzania voter's issue. They have let this man continue with corruption and impunity. Those in diplomatic circles especially in the US state department are privy of the matter and very disgust with Kikwete. He is not a serious leader and the chatter in Washington about his endless lavish foreign trips is not flattering. He is an embarrasment to his country and african leaders
He has literally sold his country and done nothing to combat corruption. Nepotism has risen; those in power ensures they slot in their children in sensitive positions before they retire. Currently, 15% of Tanzania government leadership is made of sons and daughters of those that once ruled or still in power.
I see Tanzania in the line of Tunisia and Egypt very soon, and won't lose sleep if this man is ousted, we just don't want him in America. UK, you can have him. Our cabinet secretaries take subway, their ministers in expensive land cruisers. Not with our tax dollars. I learnt through secret channels that one of his associates transported a Range rover in a cargo plane to Tanzania
Then go around and say "Hand to Mouth"???????? Comment from a whole president to his fellow world leaders? can he ask himself why???
Davos main goal is to discuss Euro crisis not African problems and this president should have known that, because at the end of the day he will be leaving bare handed.

SOURCE:
https://www.facebook.com/permalink.

Nawatakieni nyote Heri ya X-Mass! Merry Christmass to you all!

JK ATAENDELEA KUBAKI KWENYE UBORA WAKE ULEULE.
[h=2]Hongera Rais Kikwete kwa ziara yenye Mafanikio Mkoani Ruvuma[/h]
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete amefanya ziara ya kikazi mkoani Ruvuma. Akiwa katika ziara hiyo ambayo imefanyika kwa siku saba kuanzia Julai 17 hadi 23, Rais KIKWETE amefanya mambo makubwa ya kimaendeleo ikiwemo kukagua, kuzindua, kufungua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo.

Wananchi waliopo katika maeneo mbalimbali mkoani humo, ambako Rais Kikwete alipita kufanya shughuli hizo muhimu ikiwemo mikutano ya hadhara katika kila wilaya zilizopo mkoani Ruvuma, walijitokeza kwa wingi huku wakiimba nyimbo za kumsifu na kumshangilia. Wananchi wengi wamefarijika na ujio wa Rais Kikwete hasa wakikumbuka kazi nzuri inayoendelea kufanywa chini ya utawala wake mkoani Ruvuma.

Rais Kikwete akiwa katika Manispaa ya Songea aliweka jiwe la msingi nyumba bora za gharama nafuu ambazo zinajengwa na shirika la nyumba la Taifa (NHC). Aidha, Rais KIKWETE alifungua Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mkoa wa Ruvuma ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi bilioni moja.

Kadhalika alikagua na kuzindua ghala jipya la hifadhi ya Taifa ya chakula (NFRA) lililopo mjini Songea. Akiwa ziarani wilaya ya Nyasa, Rais KIKWETE alizindua daraja jipya la Ruhekei na mradi wa umeme vijijini (REA) uliopo Mbamba Bay.

Kwa wilaya ya Mbinga, Rais KIKWETE alifungua barabara kuu ambayo imejengwa kwa kiwango cha lami ya kutoka Mbinga hadi Songea ambayo ni sehemu ya miradi ya changamoto za milenia (MCC). Aidha, Rais KIKWETE alifungua kituo kikuu cha mabasi ambacho kimejengwa Mbinga mjini.

Rais Kikwete akiendelea na ziara yake mkoani Ruvuma, alifungua soko la kimataifa la Mkenda ambalo limejengwa mpakani mwa nchi ya Tanzania na Msumbiji ambalo litawanufaisha wananchi wa pande hizo mbili.

Wilayani Namtumbo Rais KIKWETE alizindua hospitali ya wilaya hiyo. Pia alizindua barabara iliyojengwa kwa kiwango cha lami kutoka Songea hadi Namtumbo. Pia aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo, Tunduru hadi Sauti moja wilayani Tunduru.

Wilayani Tunduru Rais KIKWETE alizindua nyumba 40 ambazo zimejengwa na taasisi ya Mkapa Foundation zilizopo katika kijiji cha Matemanga. Nyumba hizo ni sehemu ya nyumba 400 zinazojengwa na taasisi hiyo Mkoani Ruvuma. Pia Rais KIKWETE alizindua mradi wa maji uliopo tarafa ya Nalasi wilayani humo.

Rais Kikwete amehitimisha ziara yake jana Julai 23, kwa kufanya majumuisho ya ziara yake Tunduru mjini na kuondoka wilayani humo kuelekea Masasi na Nachingwea ambako amezindua na kuweka mawe ya msingi ujenzi wa barabara na kufungua Mradi wa Maji wa Ngwinji ambao utawanufaisha wakazi wa miji ya Nachingwea na Masasi.

Sisi wana Ruvuma hakika tumefarijika sana kutokana na ujio wa Rais wetu Mpendwa. Katika kumbukumbu yangu, hii ni mara ya kwanza kwa Rais yeyote wa Tanzania kuwa na ziara ya siku nyingi Mkoani mwetu na yawezekana pia mkoa wowote ule. Ninaamini kuwe uwepo wa Rais KIKWETE kwa siku zote hizo hakujatokana na matakwa yake hasa ikizingatiwa kuwa ana majukumu mengi ya kitaifa bali umesukumwa na juhudi za wana Ruvuma kujiletea maendeleo yao chini ya usimamizi wa Chama Tawala, CCM na serikali yake. Kwa hakika Rais KIKWETE hakukaa bure wakati wote alipokuwa Ruvuma na hadi anaondoka, kuna miradi mingi alikuwa hajaipitia.

Ziara ya Rais KIKWETE mkoani Ruvuma inapaswa kuwa somo kwa mikoa mingine. Hii ni kutokana na ukweli kuwa si kila mradi una hadhi ya kufunguliwa, kuwekewa mawe ya msingi au kuzinduliwa na Rais. Wana Ruvuma tumejituma sana na tumetumia nguvu zetu, fedha zetu na vitu vingine kwa lengo la kufanikisha miradi husika. Huwa nawahurumia sana wananchi wa mikoa mingine ambao kila mara wamekuwa wakidanganywa kuwa wananchi hawatakiwi kuchangia maendeleo yao kwa madai kuwa ni wajibu wa serikali. Hakika huko ni kuchelewesha maendeleo. Wananchi wengi waliojitokeza kumlaki Rais KIKWETE walisikika wakisema kuwa hawataki upinzani kwenye maeneo yao kwa vile wao ni adui mkubwa wa maendeleo. Kwamba mwaka 2015 CCM watapata ushindi mkubwa sana hasa kwa vile wananchi wanakiamini na hivyo ni wajibu wao kuk
 
Richard Brunwick
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper. Having worked with the UNDP in that country for 8 years, I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is. His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them. British TAX payers must stop funding this man's corruptin and foreign trips. His human rights record is horrible. Mr. Kikwete had no business of going to Davos to ask for foreign aid. Already his country is the world third leading foreign Aid dependant nation. He should be embarassed to say to the world that people are poor. His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.That is hiw own problem, Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips. He should make good use of his country's wealth. Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock. I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips. Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania. We must question the nations that welcomes this "Joker's" request for AID. He needs to be on a "no-fly" list so he can be serious. Hopefully the billionaires questions what he has done with the Money he has received for decades. The Arab spring should turn into the African summer and get rid of the Kikwete likes.

Linda Croucher;
This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.
Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.
I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit.
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children. we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created misery
because they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools

Alta Vista1
The issue with Tanzania president is not a British issue or a global issue. It is a Tanzania voter’s issue. They have let this man continue with corruption and impunity. Those in diplomatic circles especially in the US state department are privy of the matter and very disgust with Kikwete. He is not a serious leader and the chatter in Washington about his endless lavish foreign trips is not flattering. He is an embarrasment to his country and african leaders
He has literally sold his country and done nothing to combat corruption. Nepotism has risen; those in power ensures they slot in their children in sensitive positions before they retire. Currently, 15% of Tanzania government leadership is made of sons and daughters of those that once ruled or still in power.
I see Tanzania in the line of Tunisia and Egypt very soon, and won’t lose sleep if this man is ousted, we just don’t want him in America. UK, you can have him. Our cabinet secretaries take subway, their ministers in expensive land cruisers. Not with our tax dollars. I learnt through secret channels that one of his associates transported a Range rover in a cargo plane to Tanzania
Then go around and say “Hand to Mouth”???????? Comment from a whole president to his fellow world leaders? can he ask himself why???
Davos main goal is to discuss Euro crisis not African problems and this president should have known that, because at the end of the day he will be leaving bare handed.

SOURCE:
https://www.facebook.com/permalink.

Nawatakieni nyote Heri ya X-Mass! Merry Christmass to you all!

JK ATAENDELEA KUBAKI KWENYE UBORA WAKE ULEULE.
Hongera Rais Kikwete kwa ziara yenye Mafanikio Mkoani Ruvuma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete amefanya ziara ya kikazi mkoani Ruvuma. Akiwa katika ziara hiyo ambayo imefanyika kwa siku saba kuanzia Julai 17 hadi 23, Rais KIKWETE amefanya mambo makubwa ya kimaendeleo ikiwemo kukagua, kuzindua, kufungua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo.

Wananchi waliopo katika maeneo mbalimbali mkoani humo, ambako Rais Kikwete alipita kufanya shughuli hizo muhimu ikiwemo mikutano ya hadhara katika kila wilaya zilizopo mkoani Ruvuma, walijitokeza kwa wingi huku wakiimba nyimbo za kumsifu na kumshangilia. Wananchi wengi wamefarijika na ujio wa Rais Kikwete hasa wakikumbuka kazi nzuri inayoendelea kufanywa chini ya utawala wake mkoani Ruvuma.

Rais Kikwete akiwa katika Manispaa ya Songea aliweka jiwe la msingi nyumba bora za gharama nafuu ambazo zinajengwa na shirika la nyumba la Taifa (NHC). Aidha, Rais KIKWETE alifungua Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ya mkoa wa Ruvuma ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya shilingi bilioni moja.

Kadhalika alikagua na kuzindua ghala jipya la hifadhi ya Taifa ya chakula (NFRA) lililopo mjini Songea. Akiwa ziarani wilaya ya Nyasa, Rais KIKWETE alizindua daraja jipya la Ruhekei na mradi wa umeme vijijini (REA) uliopo Mbamba Bay.

Kwa wilaya ya Mbinga, Rais KIKWETE alifungua barabara kuu ambayo imejengwa kwa kiwango cha lami ya kutoka Mbinga hadi Songea ambayo ni sehemu ya miradi ya changamoto za milenia (MCC). Aidha, Rais KIKWETE alifungua kituo kikuu cha mabasi ambacho kimejengwa Mbinga mjini.

Rais Kikwete akiendelea na ziara yake mkoani Ruvuma, alifungua soko la kimataifa la Mkenda ambalo limejengwa mpakani mwa nchi ya Tanzania na Msumbiji ambalo litawanufaisha wananchi wa pande hizo mbili.

Wilayani Namtumbo Rais KIKWETE alizindua hospitali ya wilaya hiyo. Pia alizindua barabara iliyojengwa kwa kiwango cha lami kutoka Songea hadi Namtumbo. Pia aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kutoka Namtumbo, Tunduru hadi Sauti moja wilayani Tunduru.

Wilayani Tunduru Rais KIKWETE alizindua nyumba 40 ambazo zimejengwa na taasisi ya Mkapa Foundation zilizopo katika kijiji cha Matemanga. Nyumba hizo ni sehemu ya nyumba 400 zinazojengwa na taasisi hiyo Mkoani Ruvuma. Pia Rais KIKWETE alizindua mradi wa maji uliopo tarafa ya Nalasi wilayani humo.

Rais Kikwete amehitimisha ziara yake jana Julai 23, kwa kufanya majumuisho ya ziara yake Tunduru mjini na kuondoka wilayani humo kuelekea Masasi na Nachingwea ambako amezindua na kuweka mawe ya msingi ujenzi wa barabara na kufungua Mradi wa Maji wa Ngwinji ambao utawanufaisha wakazi wa miji ya Nachingwea na Masasi.

Sisi wana Ruvuma hakika tumefarijika sana kutokana na ujio wa Rais wetu Mpendwa. Katika kumbukumbu yangu, hii ni mara ya kwanza kwa Rais yeyote wa Tanzania kuwa na ziara ya siku nyingi Mkoani mwetu na yawezekana pia mkoa wowote ule. Ninaamini kuwe uwepo wa Rais KIKWETE kwa siku zote hizo hakujatokana na matakwa yake hasa ikizingatiwa kuwa ana majukumu mengi ya kitaifa bali umesukumwa na juhudi za wana Ruvuma kujiletea maendeleo yao chini ya usimamizi wa Chama Tawala, CCM na serikali yake. Kwa hakika Rais KIKWETE hakukaa bure wakati wote alipokuwa Ruvuma na hadi anaondoka, kuna miradi mingi alikuwa hajaipitia.

Ziara ya Rais KIKWETE mkoani Ruvuma inapaswa kuwa somo kwa mikoa mingine. Hii ni kutokana na ukweli kuwa si kila mradi una hadhi ya kufunguliwa, kuwekewa mawe ya msingi au kuzinduliwa na Rais. Wana Ruvuma tumejituma sana na tumetumia nguvu zetu, fedha zetu na vitu vingine kwa lengo la kufanikisha miradi husika. Huwa nawahurumia sana wananchi wa mikoa mingine ambao kila mara wamekuwa wakidanganywa kuwa wananchi hawatakiwi kuchangia maendeleo yao kwa madai kuwa ni wajibu wa serikali. Hakika huko ni kuchelewesha maendeleo. Wananchi wengi waliojitokeza kumlaki Rais KIKWETE walisikika wakisema kuwa hawataki upinzani kwenye maeneo yao kwa vile wao ni adui mkubwa wa maendeleo. Kwamba mwaka 2015 CCM watapata ushindi mkubwa sana hasa kwa vile wananchi wanakiamini na hivyo ni wajibu wao kuk
 
Tujipange Kuchagua VIONGOZI wanaotanguliza maslahi ya Taifa mwaka kesho!
 
TANZANIA YAPEWA SIKU 10 TU

Ndugu zangu Watanzania nikiwa najitambulisha kwenu tena na tena; kuwa mimi ni nabii maalum. Siyo nabii kama maabii wengine (traditional prophets) ambao tumezoea kuwasikia wakijiita manabii au mitume, wakiwa na madhehebu au makanisa wakidai wanafanya miujiza na kuponyesha wagonjwa.

Mimi si nabii wa namna hiyo, bali mimi Mungu amenipa unabii kwa ajili ya kazi maalum. Mimi ni nabii wa kutabiriwa katika andiko la kitabu cha Kumbukumbu la Torati 18:18,19. Ambapo nabii Musa akiwa katika nyanda za Moabu, muda mfupi wakiwa wametoka Misri ule mwaka wa 1513 B.C. Mungu alimwambia Musa maneno yafuatayo kwamba: “Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe; nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, naye atasema nao yote nitakayomwamuru. Na itatukia kwamba mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo atayasema katika jina langu, mimi mwenyewe nitamtaka ajibu.”

Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania na ndugu zangu wa kizazi hiki kinachoishi duniani leo, mimi ni ndugu yenu; ambaye niseme bahati hii ya mtende ya mtu aliyeteuliwa kutimiza unabii huo wa kuwa kama nabii musa imeniangukia mimi. Hakika sikujichagua au kuomba kazi hii ya kutimiza unabii huo, bali Mungu alinichagua tokea nimezaliwa na alianza kuniandaa na kunilea kwa ajili ya kuja kuwa mwakilishi wao hapa duniani kwa ajili ya kazi maalum. Na hiyo kazi maalum ilianza mwaka 2009, na kazi bado inaendelea (nilieleza kwa kirefu juu ya unabii wa kama Musa kwenye kitabu cha Uzima sehemu ya kwanza nilichokichapisha ule mwaka 2009).

Ndugu zangu kila jambo huwa lina mwanzo wake na bila shaka; jambo lenye mwanzo lazima litakuja kuwa na mwisho wake! Kwa hiyo unabii huo wa Kumbukumbu la Torati 18:18,18, ndipo sasa umepata mwanzo wake kwa kutimia kwangu, baada ya miaka karibu 3,500 kupita.

Kwa hiyo ndugu zangu; wakati huu siyo wakati wa kutukana, kusonya, kubeza au kupinga kwa sababu muda siyo muda kila mtu atajua awe anataka au hataki kwamba kweli unabii wa Musa umetimia (ni jambo la wakati tu na wakati huo ahuna madhara kwa yeyote).

Kwa hiyo kitakacho fanya unabii ujulikane Tanzania na duniani kote; ni kama ambavyo nimekuwa nikieleza kwenye barua mbalimbali ambazo nimeiandikia ikulu tokea ule mwaka wa 2012 na nikiwa nimeandika makala nyingi katika magazeti mbalimbali, yanayoeleza nia ya kuomba kukutana na Mh. Kikwete. Kwa sababu ndilo sharti la kwanza ambalo napaswa kufanya ili nimueleze Rais wangu anayetawala kipindi hiki ambacho unabii umeanza; juu ya makusudi ya Mungu anayo kusudia kuyafanya hapa duniani hivi sasa.

Rais atakapokuwa ameelewa ndipo sasa watu wote mtakuja kufahamu kinachomaanishwa na unabii huo wa mimi kuteuliwa kuwa nabii kama Musa. Kwa hiyo sala za kila mtu ni kuomba Mh. JK kunipa nafasi ya kumuona na kunielewa juu ya utume wangu kwa sababu ni mzuri sana na ndilo suluhisho la matatizo mengi yanayolikumba taifa hili na dunia kwa ujumla.

MUNGU AMPA SIKU 10 MH. KIKWETE

Kama nilivyoeleza hapo juu kuwa tokea mwaka 2012 nimekuwa nikiandika barua ikulu za kuomba kukutana ana kwa ana na Rais kwa ajili ya kuwakilisha utume nilio nao na nikieleza utume huu si wangu peke yangu bali na taifa letu linahusika kwa asilimia 100 na unabii huu. Na tokea mwaka 2009, nimeendesha vipindi vya televisheni na kuandika makala nyingi ambazo Rais na watendaji wake wa serikali wangepaswa kusituka na kuniita ili nitoe maelezo kwao, lakini wamekuwa wakifumba macho na masikio.

Mara nyingi wasaidizi wa Rais wamekuwa wakitoa kisingizio cha kwamba Mheshimiwa ana kazi nyingi sana, ambavyo ni kweli, lakini jambo hili hata mtu mwenye upeo mdogo, anapaswa kulipa umuhimu wake, kwa sababu siku zote nimekuwa nikilieleza kwenye ukubwa wake.

Nasikitika kusema kuwa Mungu amekasirika sana sana na mimi nabii wao nimekwazika sana sana. Kwa sababu tokea mwaka 2012 naiandikia ikulu umuhimu wa kukutana na Rais naambiwa ana kazi nyingi sana na tarehe 29/11/2014 niliandika makala ambayo niliichapisha waraka ambao nilimwandikia Rais mwaka 2012 ambao ukapuuzwa na kusababisha ufisadi mkubwa na matatizo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Lakini mpaka naandika makala hii bado sijaitwa kumuona Raisi. Isitoshe tarehe 15/12/2014 nimemwandikia barua binafsi Rais ambayo maudhui yake nitayaeleza hapa chini na nikamkabidhi mkononi msaidizi wake wa habari Bw. Salva Rweyemamu; lakini mpaka sasa bado sijaitwa. Cha kushangaza wasanii wetu wawili ambao wameshinda tuzo na ushindi wa BBA juzi tu, Rais akawa hana kazi nyingi sana, kwani aliwapatia wasanii hao nafasi ya kwenda kupongezwa na Rais ikulu (ambalo ni jambo zuri sana).

Nimesema ni jambo la kushangaza kwa sababu thamani ya tuzo na zawadi za wasanii hao ambao kwa Rais wameonekana ni wa muhimu sana kuliko nabii Buberwa, ambapo thamani ya tuzo zao haiwezi kuhudumia hata kijiji kimoja chenye wakazi 100 tu kwa mwaka hata mmoja. Lakini nabii Buberwa siku zote karibu miaka 2 sasa nimemwandikia barua Rais na kutoa makala magazetini kuwa nina fomula ya kutoka kwa Mungu ya kuondoa vita duniani, kufufua uchumi wa nchi na dunia, napuuzwa.

Sasa Mungu anaagiza; hatumii tena lugha laini, bali anamwagiza Mh. Prof. Jakaya Kikwete na washauri wake wawe wamekutana nami ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014, kinyume cha hivyo Mungu anasema utukufu ambao Tanzania ilikuwa ipewe utahamishiwa katika nchi nyingine mojawapo ya Afrika Mashariki kati yenye watawala wenye alama za majina “JK”. Na Mungu anasema waziwazi kwamba kwa taifa hili kupuuza daraka ambalo alitaka kulipatia taifa hili hakika kutatokea mtikisiko mkubwa sana sana kuliko yote iliyowahi kutokea katika taifa hili tokea lipate uhuru.

BARUA KWA RAIS


Hapa chini ni baadhi ya makusudi ya barua niliyomwandikia Rais ya tarehe 15/12/2014, amabayo Mungu anasema yatekelezwe ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014.

YAH: OMBI LA KUKUONA KWA UHARAKA ILI NIKUJULISHE MIKAKATI AMBAYO MUNGU WA KWELI MUUMBA ANATAKA KUIFANYA JUU YA TAIFA HILI NA DUNIA KWA UJUMLA KUPITIA TAIFA LETU NA UONGOZI WAKO.

Mh. Rais bila ya kutoa maelezo marefu ningependa nijitambulishe kwako kwa ufupi; mimi Mungu aliniandaa tokea nilipozaliwa kuja kutimiza makusudi makuu ya Mungu hapa duniani kwa ajili ya kubadilisha maisha ya wanadamu wote duniani yawe mazuri kwa kupitia taifa letu Tanzania.

Mh. Rais, napenda kukutaarifu kuwa makusudi hayo ambayo Mungu wa Kweli alikusudia kuyatimiza, alipanga yatimizwe chini ya utawala wako Mheshimiwa Dr. JK Mrisho.

Mungu alitengeneza Tanzania katika jiografia ya dunia kuja kuwa taifa la kipekee na lenye utukufu duniani kwenye nyakati za siku za mwisho. Mungu alianza kuandaa watu wa taifa hili kuwa wamoja na kuwa watu wenye utu wa kipekee duniani chini ya Baba wa taifa Mwl. JK Nyerere.

Lengo la Mungu la kutengeneza utu huu tulio nao Watanzania chini ya Mwl. JK Nyerere ni kwa sababu Mungu alitaka tuwe watu wa kwanza kuyapokea na kuyakubali makusudi yake makuu yanayokuja kutangazwa kabla ya watu wengine duniani kukubali kuyatekeleza na kuyatumia.

Kwa ufupi Mh. Rais, mwaka 2009 ndipo Mungu alinifunulia kuwa mimi ni nabii maalum ninayetimiza unabii ambao ulitabiriwa miaka 3,500 iliyopita katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati sura ya 18:18,19. Kwa hiyo mimi si kama manabii ambao wapo duniani siku hizi wanaodai wanatabiri matukio mbalimbali na kudai kuponya wagonjwa kimuujiza kutoka katika imani tofauti tofauti.

Kwa hiyo mimi ni nabii mwenye makusudi mahsusi kwa dunia kama ambavyo Mungu alimtumia Musa wa taifa la Israeli la kale kukomboa watu wa taifa la Mungu Israeli kutoka utumwani Misri; ndivyo Mungu anataka kukomboa watu wote duniani wanaoishi katika kipindi hiki kinachoelekea Kiama.

Mungu anataka kutimiza nia hiyo kupitia taifa letu ambalo nyutu za watu wake zilitengenezwa chini ya utawala wa baba wa taifa Mwl. JK Nyerere na makusudi hayo ya Mungu yanaanza kutekelezwa chini ya utawalo wako Dr. JK Mrisho na maagizo ya makusudi hayo ya Mungu yatakuwa yakielekezwa na Mungu kupitia malaika zake kwa kupitia mwanadamu mimi Dr. JK Buberwa. (Alama “JK” ndizo Mungu amezitumia kuthibitisha unabii wake kuwa huko hakika)

MAOMBI YANGU RASMI KWAKO NI:

1. Nakuomba Mh. Rais kunipatia nafasi ya kukuona ana kwa ana kwa ajili ya kukueleza maagizo mahsusi toka kwa Mungu ambapo nilifanya jitihada mbalimbali tokea mwaka 2011 bila ya mafaniko.

2. Nchi yetu itakumbwa na mtikisiko wa nne ambao utakuwa mkumbwa kuliko mitikisiko 3 iliyopita. Na taifa letu litazidi kukumbwa na mabalaa mbalimbali madogo kwa makubwa na taifa halitaweza kuendelea kiuchumi. Na si hivyo tu kama Mh. Rais utaendelea kupuuza maombi ya barua hii stability ya nchi itakuwa mashakani.

3. Kwa hiyo Mh. Rais Mungu atafungua baraka hizi pindi nitakapokuona na kukueleza jukumu rasmi la Tanzania katika mpango huo. Makusudi hayo Mungu hatayafungulia mtaani bali ikulu inapaswa kuyaidhinisha kwa sababu ni mambo makubwa sana.

MAKUSUDI YA MUNGU KWA DUNIA NI YAPI KATIKA WAKATI WETU HUU?

Kwa ufupi taifa letu la Tanzania Mungu ameliteua kama taifa kusimamia makusudi yake ya kuleta mabadiliko duniani tokea Novemba 5, 2012 ambapo ni miaka 2 sasa imepita kwa sababu ya uongozi wa kitaifa kupuuzia au kuyaona mambo haya kama ya kiuendawazimu.

MIKAKATI MIKUU YA MUNGU NI:-

1. Kukomesha vita duniani katika miaka 7 tokea Novemba 5, 2012
2. Kukomesha njaa na umasikini duniani katika miaka 14 tokea Novemba, 2012
3. Kukomesha duniani uharifu, ufisadi, wizi, unyanganyi, ugaidi na matendo mengine mabaya katika jamii katika miaka 14 tokea Novemba, 2012

Katika unabii huu Tanzania ni mratibu wa mipango ya Mungu kwa niaba ya dunia na Marekani na Uingereza watakuwa wasimamizi na watekelezaji wa mipango hiyo duniani kwa kushirikiana na serikali mbalimbali duniani kama ilivyoelezwa katika gazeti la Daily News la Juni 10, 2013.

MUHIMU: Kwa hiyo Mh. Rais Mungu anakusubiri kuelewa, kukubali na kuidhinisha makusudi hayo ya Mungu kuanza. Bila ya wewe Mh. Rais uliyeko madarakani kukubali kuidhinisha mipango hiyo hakika Mungu hatafungua baraka hizi kwa taifa hili na dunia, kama ambavyo Musa hakuweza kuwatoa wana wa Israeli Misri bila kauli ya mfalme Farao kuwa sasa “ondokeni.”

Wako Mtiifu,

Dr. JK Buberwa
NABII KAMA MUSA (KUMBUKUMBU 18:18,19)

Simu: 0769 800 100 na Email: dr.josephbuberwa@gmail.com
Njaa inakusumbua wewe huna lolote.
Mi mwenyewe nimemchoka Jeikei na longolongo zake za kitoto hebu mwombe Mungu wako atuondolee kwanza
 
Huwezi kujua Mungu ana makusudi gani na taifa hili kupitia kwa huyu nabii..Naomba ikulu impe nafasi ya kuonana na Rais JK..
 
TANZANIA YAPEWA SIKU 10 TU

Ndugu zangu Watanzania nikiwa najitambulisha kwenu tena na tena; kuwa mimi ni nabii maalum. Siyo nabii kama maabii wengine (traditional prophets) ambao tumezoea kuwasikia wakijiita manabii au mitume, wakiwa na madhehebu au makanisa wakidai wanafanya miujiza na kuponyesha wagonjwa.

Mimi si nabii wa namna hiyo, bali mimi Mungu amenipa unabii kwa ajili ya kazi maalum. Mimi ni nabii wa kutabiriwa katika andiko la kitabu cha Kumbukumbu la Torati 18:18,19. Ambapo nabii Musa akiwa katika nyanda za Moabu, muda mfupi wakiwa wametoka Misri ule mwaka wa 1513 B.C. Mungu alimwambia Musa maneno yafuatayo kwamba: "Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe; nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, naye atasema nao yote nitakayomwamuru. Na itatukia kwamba mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo atayasema katika jina langu, mimi mwenyewe nitamtaka ajibu."

Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania na ndugu zangu wa kizazi hiki kinachoishi duniani leo, mimi ni ndugu yenu; ambaye niseme bahati hii ya mtende ya mtu aliyeteuliwa kutimiza unabii huo wa kuwa kama nabii musa imeniangukia mimi. Hakika sikujichagua au kuomba kazi hii ya kutimiza unabii huo, bali Mungu alinichagua tokea nimezaliwa na alianza kuniandaa na kunilea kwa ajili ya kuja kuwa mwakilishi wao hapa duniani kwa ajili ya kazi maalum. Na hiyo kazi maalum ilianza mwaka 2009, na kazi bado inaendelea (nilieleza kwa kirefu juu ya unabii wa kama Musa kwenye kitabu cha Uzima sehemu ya kwanza nilichokichapisha ule mwaka 2009).

Ndugu zangu kila jambo huwa lina mwanzo wake na bila shaka; jambo lenye mwanzo lazima litakuja kuwa na mwisho wake! Kwa hiyo unabii huo wa Kumbukumbu la Torati 18:18,18, ndipo sasa umepata mwanzo wake kwa kutimia kwangu, baada ya miaka karibu 3,500 kupita.

Kwa hiyo ndugu zangu; wakati huu siyo wakati wa kutukana, kusonya, kubeza au kupinga kwa sababu muda siyo muda kila mtu atajua awe anataka au hataki kwamba kweli unabii wa Musa umetimia (ni jambo la wakati tu na wakati huo ahuna madhara kwa yeyote).

Kwa hiyo kitakacho fanya unabii ujulikane Tanzania na duniani kote; ni kama ambavyo nimekuwa nikieleza kwenye barua mbalimbali ambazo nimeiandikia ikulu tokea ule mwaka wa 2012 na nikiwa nimeandika makala nyingi katika magazeti mbalimbali, yanayoeleza nia ya kuomba kukutana na Mh. Kikwete. Kwa sababu ndilo sharti la kwanza ambalo napaswa kufanya ili nimueleze Rais wangu anayetawala kipindi hiki ambacho unabii umeanza; juu ya makusudi ya Mungu anayo kusudia kuyafanya hapa duniani hivi sasa.

Rais atakapokuwa ameelewa ndipo sasa watu wote mtakuja kufahamu kinachomaanishwa na unabii huo wa mimi kuteuliwa kuwa nabii kama Musa. Kwa hiyo sala za kila mtu ni kuomba Mh. JK kunipa nafasi ya kumuona na kunielewa juu ya utume wangu kwa sababu ni mzuri sana na ndilo suluhisho la matatizo mengi yanayolikumba taifa hili na dunia kwa ujumla.

MUNGU AMPA SIKU 10 MH. KIKWETE

Kama nilivyoeleza hapo juu kuwa tokea mwaka 2012 nimekuwa nikiandika barua ikulu za kuomba kukutana ana kwa ana na Rais kwa ajili ya kuwakilisha utume nilio nao na nikieleza utume huu si wangu peke yangu bali na taifa letu linahusika kwa asilimia 100 na unabii huu. Na tokea mwaka 2009, nimeendesha vipindi vya televisheni na kuandika makala nyingi ambazo Rais na watendaji wake wa serikali wangepaswa kusituka na kuniita ili nitoe maelezo kwao, lakini wamekuwa wakifumba macho na masikio.

Mara nyingi wasaidizi wa Rais wamekuwa wakitoa kisingizio cha kwamba Mheshimiwa ana kazi nyingi sana, ambavyo ni kweli, lakini jambo hili hata mtu mwenye upeo mdogo, anapaswa kulipa umuhimu wake, kwa sababu siku zote nimekuwa nikilieleza kwenye ukubwa wake.

Nasikitika kusema kuwa Mungu amekasirika sana sana na mimi nabii wao nimekwazika sana sana. Kwa sababu tokea mwaka 2012 naiandikia ikulu umuhimu wa kukutana na Rais naambiwa ana kazi nyingi sana na tarehe 29/11/2014 niliandika makala ambayo niliichapisha waraka ambao nilimwandikia Rais mwaka 2012 ambao ukapuuzwa na kusababisha ufisadi mkubwa na matatizo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Lakini mpaka naandika makala hii bado sijaitwa kumuona Raisi. Isitoshe tarehe 15/12/2014 nimemwandikia barua binafsi Rais ambayo maudhui yake nitayaeleza hapa chini na nikamkabidhi mkononi msaidizi wake wa habari Bw. Salva Rweyemamu; lakini mpaka sasa bado sijaitwa. Cha kushangaza wasanii wetu wawili ambao wameshinda tuzo na ushindi wa BBA juzi tu, Rais akawa hana kazi nyingi sana, kwani aliwapatia wasanii hao nafasi ya kwenda kupongezwa na Rais ikulu (ambalo ni jambo zuri sana).

Nimesema ni jambo la kushangaza kwa sababu thamani ya tuzo na zawadi za wasanii hao ambao kwa Rais wameonekana ni wa muhimu sana kuliko nabii Buberwa, ambapo thamani ya tuzo zao haiwezi kuhudumia hata kijiji kimoja chenye wakazi 100 tu kwa mwaka hata mmoja. Lakini nabii Buberwa siku zote karibu miaka 2 sasa nimemwandikia barua Rais na kutoa makala magazetini kuwa nina fomula ya kutoka kwa Mungu ya kuondoa vita duniani, kufufua uchumi wa nchi na dunia, napuuzwa.

Sasa Mungu anaagiza; hatumii tena lugha laini, bali anamwagiza Mh. Prof. Jakaya Kikwete na washauri wake wawe wamekutana nami ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014, kinyume cha hivyo Mungu anasema utukufu ambao Tanzania ilikuwa ipewe utahamishiwa katika nchi nyingine mojawapo ya Afrika Mashariki kati yenye watawala wenye alama za majina "JK". Na Mungu anasema waziwazi kwamba kwa taifa hili kupuuza daraka ambalo alitaka kulipatia taifa hili hakika kutatokea mtikisiko mkubwa sana sana kuliko yote iliyowahi kutokea katika taifa hili tokea lipate uhuru.

BARUA KWA RAIS


Hapa chini ni baadhi ya makusudi ya barua niliyomwandikia Rais ya tarehe 15/12/2014, amabayo Mungu anasema yatekelezwe ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014.

YAH: OMBI LA KUKUONA KWA UHARAKA ILI NIKUJULISHE MIKAKATI AMBAYO MUNGU WA KWELI MUUMBA ANATAKA KUIFANYA JUU YA TAIFA HILI NA DUNIA KWA UJUMLA KUPITIA TAIFA LETU NA UONGOZI WAKO.

Mh. Rais bila ya kutoa maelezo marefu ningependa nijitambulishe kwako kwa ufupi; mimi Mungu aliniandaa tokea nilipozaliwa kuja kutimiza makusudi makuu ya Mungu hapa duniani kwa ajili ya kubadilisha maisha ya wanadamu wote duniani yawe mazuri kwa kupitia taifa letu Tanzania.

Mh. Rais, napenda kukutaarifu kuwa makusudi hayo ambayo Mungu wa Kweli alikusudia kuyatimiza, alipanga yatimizwe chini ya utawala wako Mheshimiwa Dr. JK Mrisho.

Mungu alitengeneza Tanzania katika jiografia ya dunia kuja kuwa taifa la kipekee na lenye utukufu duniani kwenye nyakati za siku za mwisho. Mungu alianza kuandaa watu wa taifa hili kuwa wamoja na kuwa watu wenye utu wa kipekee duniani chini ya Baba wa taifa Mwl. JK Nyerere.

Lengo la Mungu la kutengeneza utu huu tulio nao Watanzania chini ya Mwl. JK Nyerere ni kwa sababu Mungu alitaka tuwe watu wa kwanza kuyapokea na kuyakubali makusudi yake makuu yanayokuja kutangazwa kabla ya watu wengine duniani kukubali kuyatekeleza na kuyatumia.

Kwa ufupi Mh. Rais, mwaka 2009 ndipo Mungu alinifunulia kuwa mimi ni nabii maalum ninayetimiza unabii ambao ulitabiriwa miaka 3,500 iliyopita katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati sura ya 18:18,19. Kwa hiyo mimi si kama manabii ambao wapo duniani siku hizi wanaodai wanatabiri matukio mbalimbali na kudai kuponya wagonjwa kimuujiza kutoka katika imani tofauti tofauti.

Kwa hiyo mimi ni nabii mwenye makusudi mahsusi kwa dunia kama ambavyo Mungu alimtumia Musa wa taifa la Israeli la kale kukomboa watu wa taifa la Mungu Israeli kutoka utumwani Misri; ndivyo Mungu anataka kukomboa watu wote duniani wanaoishi katika kipindi hiki kinachoelekea Kiama.

Mungu anataka kutimiza nia hiyo kupitia taifa letu ambalo nyutu za watu wake zilitengenezwa chini ya utawala wa baba wa taifa Mwl. JK Nyerere na makusudi hayo ya Mungu yanaanza kutekelezwa chini ya utawalo wako Dr. JK Mrisho na maagizo ya makusudi hayo ya Mungu yatakuwa yakielekezwa na Mungu kupitia malaika zake kwa kupitia mwanadamu mimi Dr. JK Buberwa. (Alama "JK" ndizo Mungu amezitumia kuthibitisha unabii wake kuwa huko hakika)

MAOMBI YANGU RASMI KWAKO NI:

1. Nakuomba Mh. Rais kunipatia nafasi ya kukuona ana kwa ana kwa ajili ya kukueleza maagizo mahsusi toka kwa Mungu ambapo nilifanya jitihada mbalimbali tokea mwaka 2011 bila ya mafaniko.

2. Nchi yetu itakumbwa na mtikisiko wa nne ambao utakuwa mkumbwa kuliko mitikisiko 3 iliyopita. Na taifa letu litazidi kukumbwa na mabalaa mbalimbali madogo kwa makubwa na taifa halitaweza kuendelea kiuchumi. Na si hivyo tu kama Mh. Rais utaendelea kupuuza maombi ya barua hii stability ya nchi itakuwa mashakani.

3. Kwa hiyo Mh. Rais Mungu atafungua baraka hizi pindi nitakapokuona na kukueleza jukumu rasmi la Tanzania katika mpango huo. Makusudi hayo Mungu hatayafungulia mtaani bali ikulu inapaswa kuyaidhinisha kwa sababu ni mambo makubwa sana.

MAKUSUDI YA MUNGU KWA DUNIA NI YAPI KATIKA WAKATI WETU HUU?

Kwa ufupi taifa letu la Tanzania Mungu ameliteua kama taifa kusimamia makusudi yake ya kuleta mabadiliko duniani tokea Novemba 5, 2012 ambapo ni miaka 2 sasa imepita kwa sababu ya uongozi wa kitaifa kupuuzia au kuyaona mambo haya kama ya kiuendawazimu.

MIKAKATI MIKUU YA MUNGU NI:-

1. Kukomesha vita duniani katika miaka 7 tokea Novemba 5, 2012
2. Kukomesha njaa na umasikini duniani katika miaka 14 tokea Novemba, 2012
3. Kukomesha duniani uharifu, ufisadi, wizi, unyanganyi, ugaidi na matendo mengine mabaya katika jamii katika miaka 14 tokea Novemba, 2012

Katika unabii huu Tanzania ni mratibu wa mipango ya Mungu kwa niaba ya dunia na Marekani na Uingereza watakuwa wasimamizi na watekelezaji wa mipango hiyo duniani kwa kushirikiana na serikali mbalimbali duniani kama ilivyoelezwa katika gazeti la Daily News la Juni 10, 2013.

MUHIMU: Kwa hiyo Mh. Rais Mungu anakusubiri kuelewa, kukubali na kuidhinisha makusudi hayo ya Mungu kuanza. Bila ya wewe Mh. Rais uliyeko madarakani kukubali kuidhinisha mipango hiyo hakika Mungu hatafungua baraka hizi kwa taifa hili na dunia, kama ambavyo Musa hakuweza kuwatoa wana wa Israeli Misri bila kauli ya mfalme Farao kuwa sasa "ondokeni."

Wako Mtiifu,

Dr. JK Buberwa
NABII KAMA MUSA (KUMBUKUMBU 18:18,19)

Simu: 0769 800 100 na Email: dr.josephbuberwa@gmail.com

tangu kuumwa kwa ulimwengu,Mungu alitumia manabii wakenakuwafunulia mambombalimbali kilaalipotaka kufanya jambo,naamini Mungu anamakusudi na unabii huu,ni sala zangu kwamba huyu rahisi wetu atalipa jambo hili kipa umbele kwa ukombozi wa taifa
 
TANZANIA YAPEWA SIKU 10 TU

Ndugu zangu Watanzania nikiwa najitambulisha kwenu tena na tena; kuwa mimi ni nabii maalum. Siyo nabii kama maabii wengine (traditional prophets) ambao tumezoea kuwasikia wakijiita manabii au mitume, wakiwa na madhehebu au makanisa wakidai wanafanya miujiza na kuponyesha wagonjwa.

Mimi si nabii wa namna hiyo, bali mimi Mungu amenipa unabii kwa ajili ya kazi maalum. Mimi ni nabii wa kutabiriwa katika andiko la kitabu cha Kumbukumbu la Torati 18:18,19. Ambapo nabii Musa akiwa katika nyanda za Moabu, muda mfupi wakiwa wametoka Misri ule mwaka wa 1513 B.C. Mungu alimwambia Musa maneno yafuatayo kwamba: “Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe; nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, naye atasema nao yote nitakayomwamuru. Na itatukia kwamba mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo atayasema katika jina langu, mimi mwenyewe nitamtaka ajibu.”

Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania na ndugu zangu wa kizazi hiki kinachoishi duniani leo, mimi ni ndugu yenu; ambaye niseme bahati hii ya mtende ya mtu aliyeteuliwa kutimiza unabii huo wa kuwa kama nabii musa imeniangukia mimi. Hakika sikujichagua au kuomba kazi hii ya kutimiza unabii huo, bali Mungu alinichagua tokea nimezaliwa na alianza kuniandaa na kunilea kwa ajili ya kuja kuwa mwakilishi wao hapa duniani kwa ajili ya kazi maalum. Na hiyo kazi maalum ilianza mwaka 2009, na kazi bado inaendelea (nilieleza kwa kirefu juu ya unabii wa kama Musa kwenye kitabu cha Uzima sehemu ya kwanza nilichokichapisha ule mwaka 2009).

Ndugu zangu kila jambo huwa lina mwanzo wake na bila shaka; jambo lenye mwanzo lazima litakuja kuwa na mwisho wake! Kwa hiyo unabii huo wa Kumbukumbu la Torati 18:18,18, ndipo sasa umepata mwanzo wake kwa kutimia kwangu, baada ya miaka karibu 3,500 kupita.

Kwa hiyo ndugu zangu; wakati huu siyo wakati wa kutukana, kusonya, kubeza au kupinga kwa sababu muda siyo muda kila mtu atajua awe anataka au hataki kwamba kweli unabii wa Musa umetimia (ni jambo la wakati tu na wakati huo ahuna madhara kwa yeyote).

Kwa hiyo kitakacho fanya unabii ujulikane Tanzania na duniani kote; ni kama ambavyo nimekuwa nikieleza kwenye barua mbalimbali ambazo nimeiandikia ikulu tokea ule mwaka wa 2012 na nikiwa nimeandika makala nyingi katika magazeti mbalimbali, yanayoeleza nia ya kuomba kukutana na Mh. Kikwete. Kwa sababu ndilo sharti la kwanza ambalo napaswa kufanya ili nimueleze Rais wangu anayetawala kipindi hiki ambacho unabii umeanza; juu ya makusudi ya Mungu anayo kusudia kuyafanya hapa duniani hivi sasa.

Rais atakapokuwa ameelewa ndipo sasa watu wote mtakuja kufahamu kinachomaanishwa na unabii huo wa mimi kuteuliwa kuwa nabii kama Musa. Kwa hiyo sala za kila mtu ni kuomba Mh. JK kunipa nafasi ya kumuona na kunielewa juu ya utume wangu kwa sababu ni mzuri sana na ndilo suluhisho la matatizo mengi yanayolikumba taifa hili na dunia kwa ujumla.

MUNGU AMPA SIKU 10 MH. KIKWETE

Kama nilivyoeleza hapo juu kuwa tokea mwaka 2012 nimekuwa nikiandika barua ikulu za kuomba kukutana ana kwa ana na Rais kwa ajili ya kuwakilisha utume nilio nao na nikieleza utume huu si wangu peke yangu bali na taifa letu linahusika kwa asilimia 100 na unabii huu. Na tokea mwaka 2009, nimeendesha vipindi vya televisheni na kuandika makala nyingi ambazo Rais na watendaji wake wa serikali wangepaswa kusituka na kuniita ili nitoe maelezo kwao, lakini wamekuwa wakifumba macho na masikio.

Mara nyingi wasaidizi wa Rais wamekuwa wakitoa kisingizio cha kwamba Mheshimiwa ana kazi nyingi sana, ambavyo ni kweli, lakini jambo hili hata mtu mwenye upeo mdogo, anapaswa kulipa umuhimu wake, kwa sababu siku zote nimekuwa nikilieleza kwenye ukubwa wake.

Nasikitika kusema kuwa Mungu amekasirika sana sana na mimi nabii wao nimekwazika sana sana. Kwa sababu tokea mwaka 2012 naiandikia ikulu umuhimu wa kukutana na Rais naambiwa ana kazi nyingi sana na tarehe 29/11/2014 niliandika makala ambayo niliichapisha waraka ambao nilimwandikia Rais mwaka 2012 ambao ukapuuzwa na kusababisha ufisadi mkubwa na matatizo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Lakini mpaka naandika makala hii bado sijaitwa kumuona Raisi. Isitoshe tarehe 15/12/2014 nimemwandikia barua binafsi Rais ambayo maudhui yake nitayaeleza hapa chini na nikamkabidhi mkononi msaidizi wake wa habari Bw. Salva Rweyemamu; lakini mpaka sasa bado sijaitwa. Cha kushangaza wasanii wetu wawili ambao wameshinda tuzo na ushindi wa BBA juzi tu, Rais akawa hana kazi nyingi sana, kwani aliwapatia wasanii hao nafasi ya kwenda kupongezwa na Rais ikulu (ambalo ni jambo zuri sana).

Nimesema ni jambo la kushangaza kwa sababu thamani ya tuzo na zawadi za wasanii hao ambao kwa Rais wameonekana ni wa muhimu sana kuliko nabii Buberwa, ambapo thamani ya tuzo zao haiwezi kuhudumia hata kijiji kimoja chenye wakazi 100 tu kwa mwaka hata mmoja. Lakini nabii Buberwa siku zote karibu miaka 2 sasa nimemwandikia barua Rais na kutoa makala magazetini kuwa nina fomula ya kutoka kwa Mungu ya kuondoa vita duniani, kufufua uchumi wa nchi na dunia, napuuzwa.

Sasa Mungu anaagiza; hatumii tena lugha laini, bali anamwagiza Mh. Prof. Jakaya Kikwete na washauri wake wawe wamekutana nami ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014, kinyume cha hivyo Mungu anasema utukufu ambao Tanzania ilikuwa ipewe utahamishiwa katika nchi nyingine mojawapo ya Afrika Mashariki kati yenye watawala wenye alama za majina “JK”. Na Mungu anasema waziwazi kwamba kwa taifa hili kupuuza daraka ambalo alitaka kulipatia taifa hili hakika kutatokea mtikisiko mkubwa sana sana kuliko yote iliyowahi kutokea katika taifa hili tokea lipate uhuru.

BARUA KWA RAIS


Hapa chini ni baadhi ya makusudi ya barua niliyomwandikia Rais ya tarehe 15/12/2014, amabayo Mungu anasema yatekelezwe ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014.

YAH: OMBI LA KUKUONA KWA UHARAKA ILI NIKUJULISHE MIKAKATI AMBAYO MUNGU WA KWELI MUUMBA ANATAKA KUIFANYA JUU YA TAIFA HILI NA DUNIA KWA UJUMLA KUPITIA TAIFA LETU NA UONGOZI WAKO.

Mh. Rais bila ya kutoa maelezo marefu ningependa nijitambulishe kwako kwa ufupi; mimi Mungu aliniandaa tokea nilipozaliwa kuja kutimiza makusudi makuu ya Mungu hapa duniani kwa ajili ya kubadilisha maisha ya wanadamu wote duniani yawe mazuri kwa kupitia taifa letu Tanzania.

Mh. Rais, napenda kukutaarifu kuwa makusudi hayo ambayo Mungu wa Kweli alikusudia kuyatimiza, alipanga yatimizwe chini ya utawala wako Mheshimiwa Dr. JK Mrisho.

Mungu alitengeneza Tanzania katika jiografia ya dunia kuja kuwa taifa la kipekee na lenye utukufu duniani kwenye nyakati za siku za mwisho. Mungu alianza kuandaa watu wa taifa hili kuwa wamoja na kuwa watu wenye utu wa kipekee duniani chini ya Baba wa taifa Mwl. JK Nyerere.

Lengo la Mungu la kutengeneza utu huu tulio nao Watanzania chini ya Mwl. JK Nyerere ni kwa sababu Mungu alitaka tuwe watu wa kwanza kuyapokea na kuyakubali makusudi yake makuu yanayokuja kutangazwa kabla ya watu wengine duniani kukubali kuyatekeleza na kuyatumia.

Kwa ufupi Mh. Rais, mwaka 2009 ndipo Mungu alinifunulia kuwa mimi ni nabii maalum ninayetimiza unabii ambao ulitabiriwa miaka 3,500 iliyopita katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati sura ya 18:18,19. Kwa hiyo mimi si kama manabii ambao wapo duniani siku hizi wanaodai wanatabiri matukio mbalimbali na kudai kuponya wagonjwa kimuujiza kutoka katika imani tofauti tofauti.

Kwa hiyo mimi ni nabii mwenye makusudi mahsusi kwa dunia kama ambavyo Mungu alimtumia Musa wa taifa la Israeli la kale kukomboa watu wa taifa la Mungu Israeli kutoka utumwani Misri; ndivyo Mungu anataka kukomboa watu wote duniani wanaoishi katika kipindi hiki kinachoelekea Kiama.

Mungu anataka kutimiza nia hiyo kupitia taifa letu ambalo nyutu za watu wake zilitengenezwa chini ya utawala wa baba wa taifa Mwl. JK Nyerere na makusudi hayo ya Mungu yanaanza kutekelezwa chini ya utawalo wako Dr. JK Mrisho na maagizo ya makusudi hayo ya Mungu yatakuwa yakielekezwa na Mungu kupitia malaika zake kwa kupitia mwanadamu mimi Dr. JK Buberwa. (Alama “JK” ndizo Mungu amezitumia kuthibitisha unabii wake kuwa huko hakika)

MAOMBI YANGU RASMI KWAKO NI:

1. Nakuomba Mh. Rais kunipatia nafasi ya kukuona ana kwa ana kwa ajili ya kukueleza maagizo mahsusi toka kwa Mungu ambapo nilifanya jitihada mbalimbali tokea mwaka 2011 bila ya mafaniko.

2. Nchi yetu itakumbwa na mtikisiko wa nne ambao utakuwa mkumbwa kuliko mitikisiko 3 iliyopita. Na taifa letu litazidi kukumbwa na mabalaa mbalimbali madogo kwa makubwa na taifa halitaweza kuendelea kiuchumi. Na si hivyo tu kama Mh. Rais utaendelea kupuuza maombi ya barua hii stability ya nchi itakuwa mashakani.

3. Kwa hiyo Mh. Rais Mungu atafungua baraka hizi pindi nitakapokuona na kukueleza jukumu rasmi la Tanzania katika mpango huo. Makusudi hayo Mungu hatayafungulia mtaani bali ikulu inapaswa kuyaidhinisha kwa sababu ni mambo makubwa sana.

MAKUSUDI YA MUNGU KWA DUNIA NI YAPI KATIKA WAKATI WETU HUU?

Kwa ufupi taifa letu la Tanzania Mungu ameliteua kama taifa kusimamia makusudi yake ya kuleta mabadiliko duniani tokea Novemba 5, 2012 ambapo ni miaka 2 sasa imepita kwa sababu ya uongozi wa kitaifa kupuuzia au kuyaona mambo haya kama ya kiuendawazimu.

MIKAKATI MIKUU YA MUNGU NI:-

1. Kukomesha vita duniani katika miaka 7 tokea Novemba 5, 2012
2. Kukomesha njaa na umasikini duniani katika miaka 14 tokea Novemba, 2012
3. Kukomesha duniani uharifu, ufisadi, wizi, unyanganyi, ugaidi na matendo mengine mabaya katika jamii katika miaka 14 tokea Novemba, 2012

Katika unabii huu Tanzania ni mratibu wa mipango ya Mungu kwa niaba ya dunia na Marekani na Uingereza watakuwa wasimamizi na watekelezaji wa mipango hiyo duniani kwa kushirikiana na serikali mbalimbali duniani kama ilivyoelezwa katika gazeti la Daily News la Juni 10, 2013.

MUHIMU: Kwa hiyo Mh. Rais Mungu anakusubiri kuelewa, kukubali na kuidhinisha makusudi hayo ya Mungu kuanza. Bila ya wewe Mh. Rais uliyeko madarakani kukubali kuidhinisha mipango hiyo hakika Mungu hatafungua baraka hizi kwa taifa hili na dunia, kama ambavyo Musa hakuweza kuwatoa wana wa Israeli Misri bila kauli ya mfalme Farao kuwa sasa “ondokeni.”

Wako Mtiifu,

Dr. JK Buberwa
NABII KAMA MUSA (KUMBUKUMBU 18:18,19)

Simu: 0769 800 100 na Email: dr.josephbuberwa@gmail.com

Manabii wa uongo walitabiriwa na imeandikwa watawapotosha wengi yamkini hata walio wateule. Naona kwa macho maneno ya Yesu yakitimia.
 
Back
Top Bottom