Nimekuwa nikifuatilia kwa makini matokeo ya kura za Urais na dhahiri kuwa Kikwete anampita Slaa kwa mbali.
Bado nashindwa kuamini lakini tumepoteza mpaka sasa unless kama kuna mtu anayeweza kutueleza kama uchakachuaji ulikuwepo na mbinu zipi zilitumika.
Tujitayarishe kwa maumivu.
Bado nashindwa kuamini lakini tumepoteza mpaka sasa unless kama kuna mtu anayeweza kutueleza kama uchakachuaji ulikuwepo na mbinu zipi zilitumika.
Tujitayarishe kwa maumivu.