nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Kuchaguliwa Wazanzibar kuwa Mawaziri kwa wingi huko Tanganyika ni kutaka kuimarisha Muungano ,ili ionekane kuna uwiano wa aina flani flani ,nina wasiwasi kama hapa hapapangwi mikakati ya kuimaliza Zanzibar kwa kuwatumia WaZanzibari.
Je hawa sio mipini inayochomekewa chomekewa kwenye shoka ??? Maana shoka halikati miti kama halijapata mpini na mpini au mipini hutokana na miti Wazenji tupooooo !!
Hii ni kutoka kwa habari za Wazanzibar Zanzibar; Huu Muungano kweli hauna faida pande zote hivi sasa, ni kwanini tusiachane kwa Amani? Wazanzibar Wengi hawapendi huu Muungano nadhani Wapemba wao hawana tatizo sana labda Viongozi wa Zamani Wa CUF
Hakuna Muungano wa Upande Mmoja sasa havi hakuna COLD WAR so ni bora waondoke
Bara hawa Mawaziri huko Zanzibar hawaamini kama Nahodha; hawaoni Umuhimu wake wanaona ni bora angepumzika kwahiyo hawataki awe Rais siku zijazo; Kikwete Amkumbatia Huyu Mtu...
Mnaonaje Hiyo Habari Toka Kwa Wazanzibar?
Je hawa sio mipini inayochomekewa chomekewa kwenye shoka ??? Maana shoka halikati miti kama halijapata mpini na mpini au mipini hutokana na miti Wazenji tupooooo !!
Hii ni kutoka kwa habari za Wazanzibar Zanzibar; Huu Muungano kweli hauna faida pande zote hivi sasa, ni kwanini tusiachane kwa Amani? Wazanzibar Wengi hawapendi huu Muungano nadhani Wapemba wao hawana tatizo sana labda Viongozi wa Zamani Wa CUF
Hakuna Muungano wa Upande Mmoja sasa havi hakuna COLD WAR so ni bora waondoke
Bara hawa Mawaziri huko Zanzibar hawaamini kama Nahodha; hawaoni Umuhimu wake wanaona ni bora angepumzika kwahiyo hawataki awe Rais siku zijazo; Kikwete Amkumbatia Huyu Mtu...
Mnaonaje Hiyo Habari Toka Kwa Wazanzibar?