Tetesi: Kikwete akimbilia Kenya

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
9,170
Reaction score
20,202
Kuna tetesi kwenye mitandao ya kijamii JK kakimbilia kujificha nchi jirani ya Kenya.

Hizi tetesi nimezipata Facebook ila nafuatilia kwa karibu sana kutoka vyanzo vyangu vya karibu na uhakika (reliable trusted sources)

Kwa hiyo muwe wa vumilivu.

Senior JF local and international correspondent.

Masters

Kebrij university
 
Yupo hajaenda kokote nimemuuliza mtu wake wa karibu kasema watawala wote wapo.
 
Kuna ambao walisema watanzania ni maneno tu bado wapo humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…