The Mongolian Savage JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 9,170 Reaction score 20,202 Oct 29, 2025 #1 Kuna tetesi kwenye mitandao ya kijamii JK kakimbilia kujificha nchi jirani ya Kenya. Hizi tetesi nimezipata Facebook ila nafuatilia kwa karibu sana kutoka vyanzo vyangu vya karibu na uhakika (reliable trusted sources) Kwa hiyo muwe wa vumilivu. Senior JF local and international correspondent. Masters Kebrij university
Kuna tetesi kwenye mitandao ya kijamii JK kakimbilia kujificha nchi jirani ya Kenya. Hizi tetesi nimezipata Facebook ila nafuatilia kwa karibu sana kutoka vyanzo vyangu vya karibu na uhakika (reliable trusted sources) Kwa hiyo muwe wa vumilivu. Senior JF local and international correspondent. Masters Kebrij university
M Mufti kuku The Infinity JF-Expert Member Joined Sep 21, 2019 Posts 6,907 Reaction score 12,196 Oct 29, 2025 #2 Afuatwe huko huko. Walizidi Kujimwambafai
The Mongolian Savage JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 9,170 Reaction score 20,202 Oct 29, 2025 Thread starter #3 Mufti kuku The Infinity said: Afuatwe huko huko. Walizidi Kujimwambafy Click to expand... Nadhani hatakaa sana Nairobi ataunganisha Dubei.
Mufti kuku The Infinity said: Afuatwe huko huko. Walizidi Kujimwambafy Click to expand... Nadhani hatakaa sana Nairobi ataunganisha Dubei.
Think2 JF-Expert Member Joined Jan 3, 2025 Posts 2,204 Reaction score 3,983 Oct 29, 2025 #4 Mimi namtaka aliejiita amir jeshi mkuu
The Mongolian Savage JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 9,170 Reaction score 20,202 Oct 29, 2025 Thread starter #5 Mufti kuku The Infinity said: Afuatwe huko huko. Walizidi Kujimwambafai Click to expand... Ila bado tetesi. Bado nafuatilia. Nimewapa hii task vijana wangu kitengoni Rama na Frenk na kila baada ya dakika wana ni brief kila jambo linaloendelea. Kwa hiyo naomba muwe wavumilivu.
Mufti kuku The Infinity said: Afuatwe huko huko. Walizidi Kujimwambafai Click to expand... Ila bado tetesi. Bado nafuatilia. Nimewapa hii task vijana wangu kitengoni Rama na Frenk na kila baada ya dakika wana ni brief kila jambo linaloendelea. Kwa hiyo naomba muwe wavumilivu.
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,083 Oct 30, 2025 #6 Huyo aende aendako, tunataka kusikia ikulu iko wazi na haimilikiwi na ccm. Hakuna cha nchimbi wala mbilimbi.
Huyo aende aendako, tunataka kusikia ikulu iko wazi na haimilikiwi na ccm. Hakuna cha nchimbi wala mbilimbi.
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,083 Oct 30, 2025 #7 Yupo hajaenda kokote nimemuuliza mtu wake wa karibu kasema watawala wote wapo.
Criss JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 1,944 Reaction score 3,090 Oct 30, 2025 #8 Huyo dingi nivile tu hamjui , amecheza nafasi muhimu sana hadi hapa tulipofikia , mbeleni huko mtajua.
Huyo dingi nivile tu hamjui , amecheza nafasi muhimu sana hadi hapa tulipofikia , mbeleni huko mtajua.
wisdom mapambano Senior Member Joined Jul 17, 2018 Posts 140 Reaction score 193 Oct 30, 2025 #9 Criss said: Huyo dingi nivile tu hamjui , amecheza nafasi muhimu sana hadi hapa tulipofikia , mbeleni huko mtajua. Click to expand... Kafanya Jambo gani kwa sasa ?
Criss said: Huyo dingi nivile tu hamjui , amecheza nafasi muhimu sana hadi hapa tulipofikia , mbeleni huko mtajua. Click to expand... Kafanya Jambo gani kwa sasa ?
Criss JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 1,944 Reaction score 3,090 Oct 30, 2025 #10 Siyo wakati sahihi kuizungumzia , wakati utafika. wisdom mapambano said: Kafanya Jambo gani kwa sasa ? Click to expand...
Siyo wakati sahihi kuizungumzia , wakati utafika. wisdom mapambano said: Kafanya Jambo gani kwa sasa ? Click to expand...
M Mtemi Mbojo JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 2,007 Reaction score 3,343 Oct 30, 2025 #11 Huyu na bi Tozo hii nchi waliifanya kama Mali yao binafsi..waende tu kiukweli
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 25,937 Reaction score 41,104 Oct 30, 2025 #12 Criss said: Huyo dingi nivile tu hamjui , amecheza nafasi muhimu sana hadi hapa tulipofikia , mbeleni huko mtajua. Click to expand... Loh🤔
Criss said: Huyo dingi nivile tu hamjui , amecheza nafasi muhimu sana hadi hapa tulipofikia , mbeleni huko mtajua. Click to expand... Loh🤔
Joe1016 JF-Expert Member Joined May 25, 2025 Posts 481 Reaction score 817 Oct 30, 2025 #13 Kuna ambao walisema watanzania ni maneno tu bado wapo humu?
J Jafarinho JF-Expert Member Joined Apr 20, 2024 Posts 283 Reaction score 438 Oct 30, 2025 #14 Watu wamekiamsha
Jumlisha JF-Expert Member Joined Jul 10, 2022 Posts 2,012 Reaction score 4,014 Oct 30, 2025 #15 Gen Z Kenya tuwataarifu hili