Unaweza kuwaomba msamaha wachaga wote uliowatusi na kuwaonyesha chuki kubwa hapa jamvini. Hayo ya uchaga na chadema nikuulize wewe uliyeyaleta kipindi kile
kwani lini ulijua mimi ni mnafiki? na kwa nini leo umenijia juu? wakati unajua mimi ni mafiki na watu wote wanjua hivyo? nani aliyekuomba kazi ya kuwakumbusha wasomaji kuwa mimi ni manfiki na wao wanasoma humu na wanajua fika mimi ni mnafiki?
au ulisahau kuwa mimi ni mafiki?
sijasahu kuwa wewe ni mnafiki. ni kazi yangu hapa jf kukuumbua kila mara unapoleta unafiki wako kwa muda mrefu sana ujao. Wasomaji wote watakuwa wanakumbushwa unafiki wako na chuki zako zilizokubuhu dhidi ya wachaga
kwa hiyo reaction yako ya leo ni ya kwa sababu ya kipindi kile? LOL!
siyo chadema tena ila wachaga, kuna uhusiano gani wa chadema na wachaga?
wewe waonaje?
ha ha ha,
naona umekumbuka wimbo ulioimbiwa siku ile unaomba kufungiwa ... joto lilikuwa limezidi ahnaa
Na nani, mbishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
joto wapi ,siku hizo ulikuwa umepotea kama wiki kadhaa, sasa ningetoa matusi kwa nani zaidi.teh teh teh
nikuulize wewe uliyeleta mambo ya uchaga hapa wakati wa uchaguzi wa chadema.
sikuelewi nikuulize wewe, nataka unipe condition ya kutuma post zinazohusu chadema!, au je post gani nikituma haitakukumbusha hayo unayoyasema! LOL!
Kipindi kile cha uchaguzi, waliokuwa viongozi wenu si walisema chadema ni chama cha wachaga? mbona Mnyika alifafanua vizuri kabisa na kuonyesha hakuna huo uhusiano. na viongozi wenu walioondoka chadema sio nao walisema hivyo hivyo?
walisema CHADEMA= WACHAGA
mimi sikubaliani nao,
kwa hiyo nikiomba msamaha kwa kudhania hivyo utaupokea?
teh teh teh ... as long as "umerudi" jamvini nadhani matusi yanaweza kuendelea... wewe waonaje?
Nilisema ukiingia kwenye huu mjadala utaleta sura mpya, bora wewe! bora, bora ......, bora mtu wangu
Mkuu bora uwe shabiki, usisahau kutoa mchango kwa njia ya SIMU ila usiwasogelee karibu! wana kiongozi wa chadema mpaka 2015, 2020, 2035, mpaka 2050.
Strategy yako nzuri kabisa, fedha za michango zitasaidia kwenye kampeni, operation sangara na ziada watatumia kumlipa Mbowe!
si unajua mbowe anakidai chama, hili unataarifa nalo?
Kwa hiyo wewe ulichosema ilikuwa ni kupigia msitari au sio? yaani kwamba unataka iingie kwenye record kuwa waberoya alikubaliana na viongozi wa chadema?!
Kama hukukubaliana nao, unaomba msamaha wa nini? unafiki mwingine bana hata watoto wa chekechea wanaweza kufanya kazi nzuri zaidi ya hii
Yataendelea kweli , maana siku hizi ukitaja kushindwa kwa chadema ni matusi.teh teh teh
ama kusema Zito ni mhimili wa chadema ni matusi, utayasikia kweli
MkamaP said:Na nani, mbishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
joto wapi ,siku hizo ulikuwa umepotea kama wiki kadhaa, sasa ningetoa matusi kwa nani zaidi.teh teh teh
Usidhani mimi ni mtu wa udenda wa madaraka kama wanaCCM wengi kazi yangu niliyonayo inanitosha wala haitegemei huruma ya CCM
Sidhani kama Mbowe anategemea hizo hela hivi unaujua ukoo wa Mbowe ulikotoka wale ni mamilionea toka enzi wao wanafanya biashara halali sio wale wanaofanya biashara kwa kutegemea huruma ya CCM kukwepa kodi wao bila CCM they are finished
kwa hiyo unaamini kuwa sikukubaliana nao au unaamini kuwa nilikubaliana nao?
to jibu sahihi zaidi eleza unachokiamin zaidi na mimi nitafuata unavyoamini wewe!
Hili ni swala la wewe kujieleza (kwa mara ya kumi) kama unakubaliana nao au vipi. Kadri nilivyosoma maandishi yako hapa, wewe unachuki sana dhidi ya wachaga na watu wa kaskazini
Ha ha ha, inachekesha kuona unavyojaribu kukwepa huu msalaba ambao wewe mwenyewe kwa utashi wako, uliuchonga hapa JF. Ukabila wako na chuki zako dhidi ya makabila fulani Tanzania, ni swala ambalo wewe mwenyewe utalitolea maelezo (majibu sahihi) na sio mwingine yoyote.
kwa hiyo chuki yangu juu ya wachaga inaathiri nini chadema?
hayo unayasema wewe.... kinachofanyika hapa ni kukufunua na kuanika unafiki wako ili wasomaji wakujue (chaga hater) jinsi ulivyo.
Kwani ni lini umezuiwa kuikosoa chadema? mbona unajiabisha? au ndio mwanzo wa vilio unataka kuanza? kinachofanyayika hapa (again) ni kukufunua ulivyo na wala sio tofauti na hapo.