Kikwazo hiki kikitolewa naoa hata leo

Kikwazo hiki kikitolewa naoa hata leo

ntundaga

Senior Member
Joined
Sep 13, 2018
Posts
143
Reaction score
213
kila nikiwa na dem mkali nkitaka kutangaza ndoa, naona madem wengine ni wakali zaid yake, nsaidieni nifanyeje mimi, naogopa ntaoa umri wa zitto K.
IMG-20181011-WA0007.jpg
 
Nikajua wazazi wa Iunayetaka kuoa wamekomaa ubadili dini.Hapo kikwazo ni macho yako tu.Omba upofu ili uliyemuona awe wa mwisho usione wengine.
 
Sasa kati ya hao 2 yupi ni mkali hapo? Mbona naona demu mzuri mmoja tu aliyeshikwa mkono, huyo chibonge mwingine wa nini sasa?
 
Back
Top Bottom