Haha tunapenda sana mlichukue nyinyi maana mna mda mrefu, tatizo msimu huu umekua na surprise nyingi.Haijawahi kutokea, kuna tekniki za ushabiki inabidi uwe nazo kuepuka disappointments.
Haha tunapenda sana mlichukue nyinyi maana mna mda mrefu, tatizo msimu huu umekua na surprise nyingi.
Umenena, tatizo kuna watu washaajiaminisha kabisa aseeMpira makombe hayatolewi kwa moral supports, unatakiwa kupigana uwanjani.
Tunapokutana na Tottenham tunaweka assumptions kwamba hawa si wale tunaocheza nao EPL, hawa ni wa UEFA. Hivyo heshima ni muhimu kwa opponent.
Umenena, tatizo kuna watu washaajiaminisha kabisa asee
Ila yote kwa yote,gud luky kwenu.
👍Shukrani mkuu, tuombe iwe hivyo. Maana kiukweli msimu ulikuwa mzuri. Itakuwa si poa kukosa kila kitu.