Kikosi bora cha muda wote Yanga ni kipi?

marcoveratti

JF-Expert Member
Sep 21, 2017
968
1,694

Tangu kuanzishwa kwakwe mwaka 1932 clabu ya Young Africans almaarufu kama Yanga Sc wamepita zaidi ya wachezaji 1000 walio itumikia timu hii kwa nyakati tofatuti tofauti na vizazi tofauti tofauti.


Kutokana na ukweli kwamba sheria ya mpira wa miguu ambao huko America wanautambua kama Soka unahitaji wachezaji 11 tu uwanjani kutengneza timu basi ndani ya Zaidi ya wachezaji 1000 walipita Yanga ni wanahitajika wachezaji 11 tu wakunda kikosi bora cha muda wote cha Yanga kutokana na mafanikio na mchango wao kwenye timu.

1

2

3

5

6

7

8

9

10

11
11

Pia kocha bora wa muda wote yanga atakae simami kikosi hicho ni nani.
 
Utopolo Njooni mnaitwa huku..! Kwa kuwasaidia Kwenye hiyo list Yenu Msimuache Said Mwamba 'Kizota'...!
 
Said Mwamba Kizota
Edibilly Lunyamila
Constantine Kimanda hawawezi kukosa
 
TIGANA SIMBA SC 1996.jpg


Kikosi cha Simba SC mwaka 1996 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam kutoka kulia waliosimama ni Steven Nemes, Athumani China, George Masatu, Alphonce Modest, Ally Yussuf ‘Tigana’ (sasa marehemu), Nico Bambaga (sasa marehemu), Mathias Mulumba, Mchunga Bakari (sasa marehemu), Mwameja Mohamed na aliyekuwa mfadhili, Azim Dewji.
Waliochuchumaa kutoka kulia ni Akida Makunda, Mustafa Hoza, Duwa Said, Hussein Marsha, Thomas Kipese, Rajab Msoma (sasa marehemu) na Deo Mkuki.
 
KASONGO ATHUMANI Simba 1993 (1).jpg


Kikosi cha Simba SC kilichotamba katika iliyokuwa michuano ya Kombe la CAF hadi kufika fainali mwaka 1993; Waliosimama kutoka kulia ni Mfadhili Mkuu, Azim Dewji, Kasongo Athumani, David Mihambo, Michael Paul ‘Nylon’, Duwa Said ambaye hakucheza michuano hiyo kwa sababu hakusajiliwa alikuwa anacheza Ligi ya Tanzania Bara pekee, Iddi Selemani ‘Meya’, Damian Kimti, Deo Mkuki, Twaha Hamidu na Mavumbi Omar aliyekatwa.
Walioinama kutoka kulia ni Often Martin aliyekatwa, George Lucas ‘Gazza’, Mbuyi Yondan, Suleiman Pembe, Ramadhani Lenny (marehemu), Edward Chumila (marehemu), Hussein Marsha na Mwameja Mohammed
 
Back
Top Bottom