Kikao kilichofanyika ikulu

<br />
<br />
Dah sijui huyu nae aitwaje
 

Imetulia mkuu, tayari nimegonga like
 
Waelevu wa mambo, wajinga na wapumbavu wote utawakuta jf . Ff haina ubaguzi ndio maana kila mtu anaandika anachotaka hata kama ni uzushi, uwongo, umbea na fitina zote utazipata. Kikao cha ikulu kilikuwa ni siri we umbea huu uliutoa wap. Usiwe mnafiki ndugu.
 

Kaa utulie na gamba lako la kijani
 
Kazi kweli tumebaki watz tu chadema mkombozi wetu
 

Ni kweli, unachokisema. Ameunganisha matukio pengine ambayo hayafanani. Hata hivyo, kuna baadhi ya watu wataanza kufikiria kuanzia hapa. Hili litakuwa kubwa zaidi kama atakuwa ni kweli kasaini mikataba yenye utata. Nami hayo ni mawazo yangu.
 
wewe upo kundi gani kata ya uliyoyataja mkuu?
 


Na mengine umesahau

1. Ni Tanzania peke yake ambayo mkuu wa serikali na nchi anaweza kuulizwa kwanini nchi ni maskini akajibu kuwa naye hajui na wananchi tukaendelea kumpigia makofi.

2.Ni Tanzania pekee yake ambayo bunge linaweza kuunda kamati ya kuchunguza wizi/ubadhirifu/ utapeli na ripoti ikatolewa lakini haiwataji wahusika wa mkataba ule kwa upande mwingine na inadai kuwa upande mmoja wa mkataba unalipwa mamilioni ya fedha lakini haisemi hizo pesa wanalipwaje na wanaolipwa ni nani(payees). Inamalizia kutoa wito wahisika wa ndani wawajibishwe lakini ianshindwa kubaini kipengere cha kumisha mkataba na sisi Watanzania tunawaona waliokuwa kwenye kamati kama heros (case study Richmond na Mwakyembe and team)

3.Ni Tanzania peke yake ambayo miaka 3 mfululizo matokeo ya Sekondari yanashuka sequentially na wahusika hawawajibiki na kibaya wanapata wa kuwaunga mkono
 
Hivi kweli! Yule mtoto wa kigogo aliyeshikwaga na madawa kulevya china, Aliishiaga wapi?
 

Sidhani kama kikao cha kilikuwa ni siri kwani ni yeye mwenyewe aliyetoa order ya kikao hicho na tarehe husika. Sasa umbea umetoka wapi?
 
Dr. Rais wetu, mwacheni mzee afanye kazi!!!
 
Ukirusha mawe kwa jambazi/mwizi aliyejificha vichakani,halafu ukasikia sauti kilio cha maumivu,ujue umemlenga.Huenda damu zinamtoka.
 
JB alishatudokeza juu ya China na jk, sijui tuliamini au ndio tunaamini?
 
WANA JF SALAM
Naomba kujua kuhusu kikao kilichoitiswa na raisi ikulu juzi jumatatu kikishirikisha wabunge wa dar na wadau wa maji wamefikia mwafaka gani au ilikuwa ni kauli ya raisi ya kujitoa kwenye kibano cha wananchi?

Mnyika atuhabarishe kilichojiri huko Ikulu that day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…