Like serious, yaan hapa kama unahusika na chama cha mgombea aliyeagizwa kwenda upinzani unaweza kosa amani moyo kwa mgombea wako kumbe ni katuni tu hiyo
Like serious, yaan hapa kama unahusika na chama cha mgombea aliyeagizwa kwenda upinzani unaweza kosa amani moyo kwa mgombea wako kumbe ni katuni tu hiyo
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!
CHADEMA hawajahi kukiri hilo kosa la 2015 na hawajatuomba msamaha kwa hilo! Badala yake wanatuletea gwanda linguine wakituaminisha ni "jembe" kama mwanzo!