Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Kikao cha Marais wa Nchi za Afrika Mashariki kinatarajia Kuanza Leo Jijini Dar es Salaam kwa Mara ya kwanza.
Kikao kilitakiwa kifanyike Arusha kama ilivyozoeleka lakini Rais John Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa jumuiya hii akaamua kifantikie Dar es Salaam.
Museveni Anatarajia Kuchukua nafasi ya jumuiya hiyo kongwe.
Stay Tuned kwa updates.