kikao cha dharura

dr luv

Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
23
Reaction score
12
Habari Ukiwa kama ndugu,jamaa na rafiki yangu,Napenda kukukaribisha kwenye kikao changu cha kwanza kitakachofanyika sigara club chang'ombe 28/11/2012,Nahitaji mchango wako wa hali na mali kuniwezesha kununua gari VITZ maana swala la usafiri hapa mjini limekua gumu.Kufika kwako ndio mafanikio yangu.
 
Hhaah gari lako sisi tuchangie haaha ndoa zenyewe siku hizi watu hawachangi na ukiona kakuchangia hela nyingi jua anakuja kula tunda lako so hata gari ataiba taa,power window,radio etc

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…