Kijiti cha uzazi wa mpango

Kijiti cha uzazi wa mpango

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,008
Reaction score
28,342
Hivi kuna mahusiano gani ya hiki kijiti kuwekwa begani kinaenda kufunga kizazi mimba isitungwe.

Naombeni kufundishwa na Madoctor mlioko humu.
 
Dawa inazunguka kwenye damu mheshimiwa, kile kijiti kina hormones ambazo zinazuia mimba. Zinaachiwa kidogo kidogo zitembee kwenye damu.
Niliona google wanaelezea natural contraceptive method kwa kutumia chai ya tangawizi. Je hii ina madhara yoyote?
 
Niliona google wanaelezea natural contraceptive method kwa kutumia chai ya tangawizi. Je hii ina madhara yoyote ?

Please kama hujawa tayari kuzaa usijetumia hiyo chai ya tangawizi ikisha ukanyanduliwa utakuja kulia hapa JF.

Hapana ukweli kwenye hilo
 
Uongo wake uko wapi?? Ulijaribu ikafeli??
Please kama hujawa tayari kuzaa usijetumia hiyo chai ya tangawizi ikisha ukanyanduliwa utakuja kulia hapa JF.

Hapana ukweli kwenye hilo
 
Back
Top Bottom