kigori wa kilwa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 483
- 149
Haya Ndio towa ushauri basi sio kuwa kma bashiteWw ndio huo mchepuko
Endelea kumpanulia tu ushauri wa nn wakat umeshaliwa snHaya Ndio towa ushauri basi sio kuwa kma bashite
Habari zenu wanajamvini
nimekutana na issue hii hapa kuna kijana tunafanya naye kazi ofisi moja , jana alinipa mkasa wake kwenye ndoa yake ni kuwa yeye ameoa zaidi ya miaka 11 nyuma lakini kipindi hicho chote hana raha na ndoa yake wala mkewe na sababu ya kutokuwa na raha ni ndoa zile za mimba alimpa binti mimba basi akalazimishwa amuoe. Kutokana na hali hiyo ilimfanya muda mwingine atafute mchepuko nje ya ndoa na kwa bahati mbaya huwa anafumaniwaga na mkewe na kupelekewa kuachana na hiyo michepuko, kwa kauli yake jana alisema alishawahi kuwa na girlfriends kama wanne hivi tangu ameoa mpka sasa na wote alikuwa anawapenda Ila tatizo mkewe akijua tu huwa hao wanawake wanamuachaga mwenyewe ...story inakuja hapa kwa sasa ana mchepuko ambaye anampenda sana kiasi kwamba hawezi kumuacha na mkewe ameshamfuma kama mara nne zaidi Ila mwanaume amesema hawezi kumuacha kwa sababu akiwa na mchepuko anakuwa na amani ya maisha Ila akiwa na mkewe hana raha kabisa amejitaidi kujicontrol Ila ameshindwa ...... anaomba msaada aachane na mkewe abaki na barafu la moyo wake au aendelee na mkewe japo hana mapenzi naye ?????
Zinapatikana wap hizo lawsTatizo hajui njia salama ya uchepukaji ndomana
Mwambie ajifunze The laws of chepukolism.
Ni utashi tu na ujanja wa mtu anao kuwa naoZinapatikana wap hizo laws
Haaha unamfundisha nini mwenzioTatizo hajui njia salama ya uchepukaji ndomana
Mwambie ajifunze The laws of chepukolism.
Life fact na Life hack tu mkuu.Haaha unamfundisha nini mwenzio
Mkuu naona kama vile umepotea njia. Ulikuwa waenda wapi?Ujanja unaoleta kwangu senseless Uko na mimi na una-chat na exes Huku unanizuga kwamba hawa ni ma-school mates Sanya vyako funga b*tch it's too late Mara Peter, mara Toni Mara Mgita, mara Boni Wanapita marathon, miksa picha za ugoni Hasira ikinishika nakupiga na hukomi Kusoma sijui ndo hata picha sioni! Kutwa kuomba omba, mabwana kuhongwa hongwa Ni ufukara ama hulka ya bupa kuonjwa onjwa Niko msoto kwenye mishe, we umelala huna pressure Huku mtoto hana lishe, we unawaza kupendeza! Nakomaa na game sokoni we don't sell sh*t Na bado unani-blame it's a shame, am I selfish?! Najitahidi ku-provide mahitaji Kumbe picha zako zipo kwa profile za washikaji
Kupanuliwa ni kawaida hata ww unapanuliwa Ila tunataka ushauri sio uboya wakoEndelea kumpanulia tu ushauri wa nn wakat umeshaliwa sn