Mwa chando
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 359
- 122
Kama kijana soma na naamini hili litamgusa mwana ccm yeyote.....
Wala siyo mwana ukawa na hata raia yeyote.....
Kwanza nianze kwa kusema kijana ndio msingi wa taifa la kesho
katika hali ya kawaida kijana ndio anapaswa kupanga kesho yake kwa hili na sisitiza tena kama ukiwa ni kijana wa tanzania ulifikiri mara mbili,
kwanza nianze kwa kusema vijana ninguvu kaxi ya taifa lakini vijana hawa hawaijui kesho yao....
Kwanini nasema vijana hawaijui kesho yao...........?
Leo ntayaweka mambo kadhaa kwanza ya kiuchumi
kimsingi vijana tunatakiwa tupange maisha yetu ya baadaye tunapaswa kujua nini hatma ya kesho yetu uchumi wa nchi tulionao ndani ya ccm na mfumo wake hauturuhusu sisi kupanga maisha ya baadaye
sasa kwanini nasema hivi .....?
Namaanisha gharama za maisha zipo juu haziendani na kipato akipatacho mtanzania halisi
ni hivi kama mtu analipwa shilingi laki tano
basi ujue take home atachukua shiling laki 3
kwa jinsi hii ukitoa gharama za usafiri, mavazi na pango ya nyumba kijana huyu hawezi kusave pesa kwa maisha yake ya baadaye....
Namaanisha kwamba kijana huyu hawezi fikiri kujenga wala kupanga maisha yake ya baadaye....
Kutokana na uchumi wa nchi kuwa mbovu na uliofamywa na ccm...
Wazazi wetu walijenga nyumba wa kasave pesa kutoka na uchumi wao kipindi cha nyuma kuwa vizuri....
Nilisikia kuwa watu wakisema sikuhizi vijana hawajishughulishi ...........?
Napinga na ninakataa na kusema hivi hakuna vipindi ambavyo vijana wanajishughulisha kama sasa hivi katika kazi mbalimbali
wanadiliki hadi kuuza makopo ili wapate riziki ....
Lakini kazi hizi zimekuwa hazina tija kutokana na kipato chao (income)
kuwa hakiendani na gharama za maisha,
narudia tena now hushangai kumuona kijana wa miaka 25- 30 yupo kwa baba na mama tena hawa future ya maisha yao..,
we unafikiri ni kutokana na nini ni ,
misingi mibovu waliyotujengea watawala ambao ni ccm .......
Kama kijana waleo tunatakiwa tupange kesho yetu na vizazi vyetu vijavyo sisi tunajukumu la kuvilinda vizazi hivi ...
Baba wa taifa kipindi hicho madini yaligunduliwa na mafuta na kila kitu kwa msisitizo akiamua kuacha akisema vizazi vijavyo vitatumia tujiulize..... Kwanini hawa watu hii mikataba ya gesi na mafuta wanaikimbiza kimbiza mbka rais kaipitisha kuna nini.....
Wakati...
Madini yanaisha....
Mafuta pia yanaisha
gesi nayo inaisha
ke vizazi vijavyo vitakuja kurithi nini ........? ????
Au labda tutawabakishia mashimo......
Tujiulize ,tutafakari,
hadi wewe unayetegemea vya urithi kumbuka vyako utachuma lini..........
Je uchumi wa nchi hii unakupa fursa....
Kama vijana tunapaswa kujiuliza maswali haya.na tuyapatie ufumbuzi bila hivyo tutaishia kuingia madeni kwenye mabank ili tuweze kuendesha maisha yetu
siwazingumzii hapa wana ccm wala ukawa wala nani bali nazungumzia mustakabari wa maisha yetu sisi kama vijana
maana sisi ndio tutakaokuja kuumia na tunaoendelea kuumia
naongea nikiwa na machungu makubwa zaidi na ninasema kama tutafanya makosa kuibakisha ccm hii madarakani tutaishia kufa maskini na vizazi vyetu vije kutulaani milele
kijana wa leo chukua hatua tusisubiri mtu aje ajengetanzania uetu ni sisi wenyewe na si watu wengine na nina furahi zaidi kwa sasa hadi wazee wetu nao wapo nyuma yetu
kataa ccm na mifumo yake haipangi kesho yetu sisi vijana
asante
Wala siyo mwana ukawa na hata raia yeyote.....
Kwanza nianze kwa kusema kijana ndio msingi wa taifa la kesho
katika hali ya kawaida kijana ndio anapaswa kupanga kesho yake kwa hili na sisitiza tena kama ukiwa ni kijana wa tanzania ulifikiri mara mbili,
kwanza nianze kwa kusema vijana ninguvu kaxi ya taifa lakini vijana hawa hawaijui kesho yao....
Kwanini nasema vijana hawaijui kesho yao...........?
Leo ntayaweka mambo kadhaa kwanza ya kiuchumi
kimsingi vijana tunatakiwa tupange maisha yetu ya baadaye tunapaswa kujua nini hatma ya kesho yetu uchumi wa nchi tulionao ndani ya ccm na mfumo wake hauturuhusu sisi kupanga maisha ya baadaye
sasa kwanini nasema hivi .....?
Namaanisha gharama za maisha zipo juu haziendani na kipato akipatacho mtanzania halisi
ni hivi kama mtu analipwa shilingi laki tano
basi ujue take home atachukua shiling laki 3
kwa jinsi hii ukitoa gharama za usafiri, mavazi na pango ya nyumba kijana huyu hawezi kusave pesa kwa maisha yake ya baadaye....
Namaanisha kwamba kijana huyu hawezi fikiri kujenga wala kupanga maisha yake ya baadaye....
Kutokana na uchumi wa nchi kuwa mbovu na uliofamywa na ccm...
Wazazi wetu walijenga nyumba wa kasave pesa kutoka na uchumi wao kipindi cha nyuma kuwa vizuri....
Nilisikia kuwa watu wakisema sikuhizi vijana hawajishughulishi ...........?
Napinga na ninakataa na kusema hivi hakuna vipindi ambavyo vijana wanajishughulisha kama sasa hivi katika kazi mbalimbali
wanadiliki hadi kuuza makopo ili wapate riziki ....
Lakini kazi hizi zimekuwa hazina tija kutokana na kipato chao (income)
kuwa hakiendani na gharama za maisha,
narudia tena now hushangai kumuona kijana wa miaka 25- 30 yupo kwa baba na mama tena hawa future ya maisha yao..,
we unafikiri ni kutokana na nini ni ,
misingi mibovu waliyotujengea watawala ambao ni ccm .......
Kama kijana waleo tunatakiwa tupange kesho yetu na vizazi vyetu vijavyo sisi tunajukumu la kuvilinda vizazi hivi ...
Baba wa taifa kipindi hicho madini yaligunduliwa na mafuta na kila kitu kwa msisitizo akiamua kuacha akisema vizazi vijavyo vitatumia tujiulize..... Kwanini hawa watu hii mikataba ya gesi na mafuta wanaikimbiza kimbiza mbka rais kaipitisha kuna nini.....
Wakati...
Madini yanaisha....
Mafuta pia yanaisha
gesi nayo inaisha
ke vizazi vijavyo vitakuja kurithi nini ........? ????
Au labda tutawabakishia mashimo......
Tujiulize ,tutafakari,
hadi wewe unayetegemea vya urithi kumbuka vyako utachuma lini..........
Je uchumi wa nchi hii unakupa fursa....
Kama vijana tunapaswa kujiuliza maswali haya.na tuyapatie ufumbuzi bila hivyo tutaishia kuingia madeni kwenye mabank ili tuweze kuendesha maisha yetu
siwazingumzii hapa wana ccm wala ukawa wala nani bali nazungumzia mustakabari wa maisha yetu sisi kama vijana
maana sisi ndio tutakaokuja kuumia na tunaoendelea kuumia
naongea nikiwa na machungu makubwa zaidi na ninasema kama tutafanya makosa kuibakisha ccm hii madarakani tutaishia kufa maskini na vizazi vyetu vije kutulaani milele
kijana wa leo chukua hatua tusisubiri mtu aje ajengetanzania uetu ni sisi wenyewe na si watu wengine na nina furahi zaidi kwa sasa hadi wazee wetu nao wapo nyuma yetu
kataa ccm na mifumo yake haipangi kesho yetu sisi vijana
asante