INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,337
Ni story iliyotokea kwa Kijana wa Kihindi aliyesafiri maili 6000 hadi Sweden kumfuata na kumuoa kipenzi cha moyo wake. je walidumu?
Fuatilia picha na kisa hiki kifupi
Mnamo 1977 mwanamume wa Kihindi aliyeitwa P. K. Mahanandia aliendesha baiskeli maili 6,000 kutoka India hadi Sweden kuoa mwanamke wa Uswidi aliyeitwa Charlotte Von Schedvin. Aliuza kila kitu alichonacho kununua baiskeli ya mitumba kwa safari yake ndefu Ya maili 6000.
Baada ya kufika tu Sweden mzee akajifotoa na mtoto
Wakafunga ndoa
Mara paap wakapata watoto wawili wa jinsia tofauti.
Wako pamoja hata sasa.
Nb Kasie naomba picha na kibabu chako
mahondaw , na mwezio smart natamani muje kuwa hivi
Fuatilia picha na kisa hiki kifupi
Mnamo 1977 mwanamume wa Kihindi aliyeitwa P. K. Mahanandia aliendesha baiskeli maili 6,000 kutoka India hadi Sweden kuoa mwanamke wa Uswidi aliyeitwa Charlotte Von Schedvin. Aliuza kila kitu alichonacho kununua baiskeli ya mitumba kwa safari yake ndefu Ya maili 6000.
Baada ya kufika tu Sweden mzee akajifotoa na mtoto
Wakafunga ndoa
Mara paap wakapata watoto wawili wa jinsia tofauti.
Wako pamoja hata sasa.
Nb Kasie naomba picha na kibabu chako
mahondaw , na mwezio smart natamani muje kuwa hivi