Kijana wa Kazi anahitajika

lawyer2

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
224
67
Natafuta kijana wa kazi ya shamba ya kutunza Nguruwe.Nahitaji awe na uzoefu wa kazi hii hasa ulishaji,upandishaji na utunzaji wa watoto.

Shamba lipo Morogoro manispaa.

Tuwasiliane kwa sms kwa 0686 666666
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom