Kijana usipambane ili kumridhisha mwanamke

Kijana usipambane ili kumridhisha mwanamke

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,152
Reaction score
43,111
Kama bado una pambana ili kumlidhisha mwanamke naomba nikukumbushe kuwa Kuna harmonize Ali honga Range kajala one and two bado haikutosha ku mridhisha mwanamke

Haji Manara ame mpeleka Zay Lissa adi Marekani na Dubai kamtafutia ma dill kibao akawa ana mfungulia adi milango ya gari lakini wapi bado haja tosheleza ku mlidhisha mwanamke

Sembuse wewe kingwendu Yani umlizishe mwanamke uyu uyu ambae akiumbwa mweusi ana jichubua awe mweupe

Hata akiwa mweupe bado anajichubua awe mweupe zaidi ameumbwa na nywele bado haliziki nazo ana vaa ma weaving tena kila baada ya wiki ana badilisha

Umlizishe mwanamke uyu ambae ata mungu mwenywe hajatosha ku mlidhisha ana muumba Hana Tako anaenda kufanya surgery aongeze maumbile na aki nenepa ana kata utumbo ili awe mwembamba😂😂😂

mwanaume mpumbavu TU ndo apambane ili ku mlidhisha mwanamke wakati mwanamke akikupenda ata lidhika na kila kitu chako!
 
Hiyo kweli!ilinitokea puani!

Hawa viumbe hawana shukrani halafu Kuna UJINGA FULANI WAMELISHANA ETI WAMETUZALIA WATOTO!YAANI KUZAA WATOTO NDIO ZAWADI KUBWA SANA WANAHISI WAMETUPA WAKATI NI WAJIBU NA JUKUMU LAO LA KIMAUMBILE SIO HEKO YA KUJISIFU COZ WATOTO WAKIKUA WAO NDIO WAFAIDIKAJI WAKUU!!

TENA WATOTO WENYEWE HUSEMA "HAKUNA KAMA MAMA"SISI TUNAISHIA KURITHI MAJINA TU!!
 
Snaptik.app_728680228240499021311.jpg
 
Back
Top Bottom