Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
SIKIA machizi wangu Dawa ni kuoa kwa kikwete tu!! yule jamaa ana roho nzuri sana na Binti zake hivohivo!! kwanza status kubwa!! jitahidi upange huko kwa watu kama hawa!!! hata wahindi, waarabu, kina Mengi hao!!
Mabinti zao hawa wakikuroga mbona swafi tuu!!! tena unaweza shawishi waroge ukoo wako mzima!! siyo upange uswahilini???? au nyumbani kwa jiwe utaumia!! kwa ukauzu wake jiwe lingekupigisha hata deki!! sasa jifanye kutoroka uone mchezo!!....
sasa uswahilini huko utaishi kimagutu-gutu mpaka lini??? watakupata tu we subiri unajifanya mjanja?? ,,,,,, na kwa vile ulisha kuwa mgumu, mjanja mjanja!!! siku ya kukupata!!! nasema huchomoki! ndo kwaanza utafua na nguo zao!!
Hasa ukiwa mpole, mstaarabu usiye kuwa na makuu, huruma, mchakarikaji, msomi, siyo mtu wa totoz!! huna magonjwa ya kudumu kama kifafa!! na maza kakutembelea kidogo wakajua mpaka familia yako weee!! mdini!! dini hivi Mama weeee!!!!
chapaa kidogo ipo!! haikupigi chenga achilia mbali kigari cha mawazo!! nakwambia wakikuacha salama hapa wenye nyumba eti uende salama unako enda watakuwa mahanithi wa kike labda!!! ikiwa hivi mshukuru sana Mungu wako!!
Kila Mtu hapa Duniani anapenda mtu wa sifa za hivi!! yaani usishangae hata Baba house akakutongoza uoe mwane Bure!!! na kodi usilipe umekuwa mwana wa nyumbani!!!
ke sikuzote wao wanajiuliza mbona haka ka jamaa kagumu hatukapati??? why? kana nini kwani?? basi wataenda kutafuta waganga wa kwenu huko kijijini sumbawanga kwa gharama yeyote bila wewe kujua ndo utakapo anza kurogewa huko!!
Ukiweza kabisa Nenda mbele huko ishi Poland, Australia, Japani huko!!! mtakuwa salama huko hawa wazungu hata wakikufanyia Limbwata shega tuu !!! na walivo na maisha Bomba utaomba wakufanyie Limbwata mwenyewe tena na tena!!!!
Unaogopa Limbwata wakati unakaa mbagala??? sijui kipawa humo?? Gongo la mboto mnakunywa maji ya visima??? jinga kabisa!!! wallahi!!! ukikaa, Mbezi Beach ya chini, City centre , Upanga, Oyster bay, hata kariakoo tu
kamwe huko au kule huogopi limbwata!!! na hukosi mIchongo ya maana..... achilia mbali Downing street ninapo kaa mie leo!!! na niliunganishwa na demu wangu Mtamu wa Oyster bay hapo Bongo!!! ila ana jamaa yake!!!
Mabinti zao hawa wakikuroga mbona swafi tuu!!! tena unaweza shawishi waroge ukoo wako mzima!! siyo upange uswahilini???? au nyumbani kwa jiwe utaumia!! kwa ukauzu wake jiwe lingekupigisha hata deki!! sasa jifanye kutoroka uone mchezo!!....
sasa uswahilini huko utaishi kimagutu-gutu mpaka lini??? watakupata tu we subiri unajifanya mjanja?? ,,,,,, na kwa vile ulisha kuwa mgumu, mjanja mjanja!!! siku ya kukupata!!! nasema huchomoki! ndo kwaanza utafua na nguo zao!!
Hasa ukiwa mpole, mstaarabu usiye kuwa na makuu, huruma, mchakarikaji, msomi, siyo mtu wa totoz!! huna magonjwa ya kudumu kama kifafa!! na maza kakutembelea kidogo wakajua mpaka familia yako weee!! mdini!! dini hivi Mama weeee!!!!
chapaa kidogo ipo!! haikupigi chenga achilia mbali kigari cha mawazo!! nakwambia wakikuacha salama hapa wenye nyumba eti uende salama unako enda watakuwa mahanithi wa kike labda!!! ikiwa hivi mshukuru sana Mungu wako!!
Kila Mtu hapa Duniani anapenda mtu wa sifa za hivi!! yaani usishangae hata Baba house akakutongoza uoe mwane Bure!!! na kodi usilipe umekuwa mwana wa nyumbani!!!
ke sikuzote wao wanajiuliza mbona haka ka jamaa kagumu hatukapati??? why? kana nini kwani?? basi wataenda kutafuta waganga wa kwenu huko kijijini sumbawanga kwa gharama yeyote bila wewe kujua ndo utakapo anza kurogewa huko!!
Ukiweza kabisa Nenda mbele huko ishi Poland, Australia, Japani huko!!! mtakuwa salama huko hawa wazungu hata wakikufanyia Limbwata shega tuu !!! na walivo na maisha Bomba utaomba wakufanyie Limbwata mwenyewe tena na tena!!!!
Unaogopa Limbwata wakati unakaa mbagala??? sijui kipawa humo?? Gongo la mboto mnakunywa maji ya visima??? jinga kabisa!!! wallahi!!! ukikaa, Mbezi Beach ya chini, City centre , Upanga, Oyster bay, hata kariakoo tu
kamwe huko au kule huogopi limbwata!!! na hukosi mIchongo ya maana..... achilia mbali Downing street ninapo kaa mie leo!!! na niliunganishwa na demu wangu Mtamu wa Oyster bay hapo Bongo!!! ila ana jamaa yake!!!