Kijana muuuza chips anahitajika Mbagala

jey n

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2018
Posts
227
Reaction score
217
Habari za muda wadau,

Nataka nifanye biashara ya kuuza chips Mbagala ila nimekosa mtu wa kufanya nae kazi.

Kama yupo mtu mwenye uzoefu na hii biashara tuwasiliane
 
Habari za muda wadau,

Nataka nifanye biashara ya kuuza chips Mbagala ila nimekosa mtu wa kufanya nae kazi.

Kama yupo mtu mwenye uzoefu na hii biashara tuwasiliane
jey n upo Mbagala sehemu gani, mimi ni mzoefu sana wa hiyo biashara
 
Ntumie mawasiliano
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…