kiongozi tatizo wakati mwingine ni sisi waungwana!!!hatutoi ushirikiano huko police,tunamkamata kibaka akishatiwa ndani na police hatutokei tena kutoa ushahidi au ushirikiano unaohitajika na police!!matokeo yake police wanakosa base za kumtia ndani mtuhumiwa,wanamwacha huru!!!!Utii wa sheria kwa wananchi unapungua kadri siku zinavyokwenda na hii inatoa picha kamili kwamba wananchi wamechoka na matukio haya,Polisi mkikamata mwizi basi sheria ichukue mkondo wake na kesi iendeshwe mapema na iishe sio mtu kaiba kuku anakaa mahabusu mwaka na siku ya hukumu anahukumiwa miezi mitatu.
ITV fulu of wachaga dadadadekiKijana mmoja mwizi wa Boda boda amechomwa moto leo maeneo ya Tegeta baada ya kukamatwa akitaka kuiba Pikipiki (Boda boda) akiwa na wenzake wawili lakini wenzake walifanikiwa kukimbia.
Source: Habari za Saa na Vumilia Mwasha ITV Saa saba
Siku za mwisho Upendo wa Wengi utapoa
ilaelekea ww kila kitu unaangalia kiukabila ww,ITV fulu of wachaga dadadadeki
Polisi wanatakiwa kuharakisha ushahidi,haiwezekani mwananchi wa kawaida ahangaike kila siku kwenda polisi na mahakamani kutoa ushahidi,bado jeshi la Polisi linatakiwa kujipanga na kufanya kazi zake kwa uhakika kwani wenzetu wanaweza sisi inashindikana nini?kiongozi tatizo wakati mwingine ni sisi waungwana!!!hatutoi ushirikiano huko police,tunamkamata kibaka akishatiwa ndani na police hatutokei tena kutoa ushahidi au ushirikiano unaohitajika na police!!matokeo yake police wanakosa base za kumtia ndani mtuhumiwa,wanamwacha huru!!!!