Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,232
- 62,295
ha ha ha haUjana maji ya moto
sawaKijana ishi kama kijana,umri unakimbia kama magurudumu ya gari, kumbuka huwezi kurudi kuwa kijana.Ni aibu kijana kuishi maisha au mitazamo ya kizee,je ukiwa mzee utafanyaje?Ndio wale wakifika uzeeni wanaanza kuutamani ujana.Kwa sasa ishi kama kijana,kuwa smart,tafuta fursa,tafuta mpenzi,akili iwe smart n.k
ha ha ha ha haUnakuta kijana anakushauri usigonge..eti uoe mapema.... Wakati wazee wanasema wakirudia ujana hawataoa.. hehehehe natania tu
ha ha ha ha ki vipi mkuu?Unaweza ishi Kama kijana lkn mazingira yanakufanya kuwa mzee
Hasa kwenye kuwa na mpenzi,kutafuta maisha na mambo mengine.ha ha ha ha ki vipi mkuu?
Kwanini kijana mwenzetuUnaweza ishi Kama kijana lkn mazingira yanakufanya kuwa mzee
Usiniulize kwanini nenda vijijini utaona hata mijini wapoKwanini kijana mwenzetu
Uliongea kimafumbo ila hapo sasa nimekuelewa aisee sahihi.Usiniulize kwanini nenda vijijini utaona hata mijini wapo