Elementi
Member
- Apr 9, 2019
- 60
- 157
Habari wakuu,
Kuna kijana anaitwa Hamisi ,alikuwepo kwenye mashindano ya BSS. Ni kijana ambaye kwa muda mfupi watu wamempenda sana. Lakini kwa sasa ameondolewa kwenye mashindano hayo.
Naombeni msaada kwa anayejua mawasiliano yake au anayeweza kunifikisha mahali anapoishi, au hata kunielekeza mahali anapopatikana. Boss wangu anataka tumfanyie mahojiano Hamisi ili watanzania waweze kujua maisha ya Hamisi kiundani zaidi.
Kuna kijana anaitwa Hamisi ,alikuwepo kwenye mashindano ya BSS. Ni kijana ambaye kwa muda mfupi watu wamempenda sana. Lakini kwa sasa ameondolewa kwenye mashindano hayo.
Naombeni msaada kwa anayejua mawasiliano yake au anayeweza kunifikisha mahali anapoishi, au hata kunielekeza mahali anapopatikana. Boss wangu anataka tumfanyie mahojiano Hamisi ili watanzania waweze kujua maisha ya Hamisi kiundani zaidi.