chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Kijana huyo anaitwa Amosi, na tukio hilo la aina yake limetokea Ushirombo huko geita baada ya mmiliki wa bata huyo kumnasa kijana huyo akimnajisi bata huyo chumbani kwake.
Mmiliki wa bata kasema bata wake kaharibiwa sehemu zake za uzazi na tiyari kijana huyo kafikishwa polisi kuchukuliwa hatua za kisheria.
Chanzo : Radio Free Matukio
Mmiliki wa bata kasema bata wake kaharibiwa sehemu zake za uzazi na tiyari kijana huyo kafikishwa polisi kuchukuliwa hatua za kisheria.
Chanzo : Radio Free Matukio