Kijana anapenda mpira kushinda elimu

Kijana anapenda mpira kushinda elimu

bintishomvi

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
1,164
Reaction score
833
Naomba connection akacheze nje ya nchi apa bongo naona hakuna matumaini na umri unasogea
 
kuna story moja kocha flani wa tz alikua akihadithia.
uyo kocha alipata timu ya kufundisha huko nje ya Tanzania,,wakiwa mazoezi na timu akaja mnigeria akamwambia mimi mchezaji nacheza winga nakuomba unipe nafasi nikuonyeshe maajabu.

kweli mnaigeria akapewa nafasi akakiwasha dirisha la usajili lilipofunguliwa wakampa mkataba.
wanigeria wacheza soka wanafungua mipaka fursa wanakutana nazo hukohuko.
 
kuna story moja kocha flani wa tz alikua akihadithia.
uyo kocha alipata timu ya kufundisha huko nje ya Tanzania,,wakiwa mazoezi na timu akaja mnigeria akamwambia mimi mchezaji nacheza winga nakuomba unipe nafasi nikuonyeshe maajabu.

kweli mnaigeria akapewa nafasi akakiwasha dirisha la usajili lilipofunguliwa wakampa mkataba.
wanigeria wacheza soka wanafungua mipaka fursa wanakutana nazo hukohuko.
Ndio maana plan yangu aende mbele uko akajichanganye bongo kugumu
 
Namna ya kwenda ndio tatizo nauri na visa itapatikana aina shida
 
Back
Top Bottom