Nasikia Forex, Nadex sijui nini.
Naona wengi wamemezwa na kampeni hiyo waki haidiwa kutajirika haraka.
Nakuasa kijana wangu, hakuna pesa rahisi, kila pesa ina jasho.
Ewe mwenye vipesa vyako vidogo usiingie kwenye biashara ambayo huijui na hujawa tayari kuipoteza hiyo pesa yako.
Huyo anaefanya kampeni ya Forex bado anakuambia analima na kufuga. Bado anakuambia forex inamuingizia mamilioni ya pesa. Kwanini asiachane na kilimo ambacho pesa yake huchukua muda mrefu kurudi?
Forex ni kama betting, ni km kamari tu, unapaswa kuwa na fedha ya ziada ambayo hata ikipotea huko haikuumizi kichwa.
Lakini kama ndio unategemea forex kama biashara yako ikutoe kimaisha, ikulishe, basi unapotea.
Sisemi hivi kwasababu ya chuki, au wivu, bali nakueleza ukweli kwamba usije piga kelele humu kuwa umepoteza muda na.pesa zako huko.
Nakuasa tena kijana, kama umeamua kuwa mfugaji, mkulima, muuza duka, mchuuzi, nk endelea na biashara yako.
Hizi biashara za kuaminishwa kuna ela na kutajirika kwa haraka hamna kitu kama hicho.
Hakuna biashara rahisi, nawachana live, atakae pasuka, nuna, atajua mwenyewe.
Ukweli Mezani.
Naweka Kumbukumbu sawa!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wengi wamemezwa na kampeni hiyo waki haidiwa kutajirika haraka.
Nakuasa kijana wangu, hakuna pesa rahisi, kila pesa ina jasho.
Ewe mwenye vipesa vyako vidogo usiingie kwenye biashara ambayo huijui na hujawa tayari kuipoteza hiyo pesa yako.
Huyo anaefanya kampeni ya Forex bado anakuambia analima na kufuga. Bado anakuambia forex inamuingizia mamilioni ya pesa. Kwanini asiachane na kilimo ambacho pesa yake huchukua muda mrefu kurudi?
Forex ni kama betting, ni km kamari tu, unapaswa kuwa na fedha ya ziada ambayo hata ikipotea huko haikuumizi kichwa.
Lakini kama ndio unategemea forex kama biashara yako ikutoe kimaisha, ikulishe, basi unapotea.
Sisemi hivi kwasababu ya chuki, au wivu, bali nakueleza ukweli kwamba usije piga kelele humu kuwa umepoteza muda na.pesa zako huko.
Nakuasa tena kijana, kama umeamua kuwa mfugaji, mkulima, muuza duka, mchuuzi, nk endelea na biashara yako.
Hizi biashara za kuaminishwa kuna ela na kutajirika kwa haraka hamna kitu kama hicho.
Hakuna biashara rahisi, nawachana live, atakae pasuka, nuna, atajua mwenyewe.
Ukweli Mezani.
Naweka Kumbukumbu sawa!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app