Kijana amka, hakuna pesa rahisi

hiden

JF-Expert Member
Sep 28, 2015
376
691
Nasikia Forex, Nadex sijui nini.
Naona wengi wamemezwa na kampeni hiyo waki haidiwa kutajirika haraka.

Nakuasa kijana wangu, hakuna pesa rahisi, kila pesa ina jasho.

Ewe mwenye vipesa vyako vidogo usiingie kwenye biashara ambayo huijui na hujawa tayari kuipoteza hiyo pesa yako.

Huyo anaefanya kampeni ya Forex bado anakuambia analima na kufuga. Bado anakuambia forex inamuingizia mamilioni ya pesa. Kwanini asiachane na kilimo ambacho pesa yake huchukua muda mrefu kurudi?

Forex ni kama betting, ni km kamari tu, unapaswa kuwa na fedha ya ziada ambayo hata ikipotea huko haikuumizi kichwa.

Lakini kama ndio unategemea forex kama biashara yako ikutoe kimaisha, ikulishe, basi unapotea.

Sisemi hivi kwasababu ya chuki, au wivu, bali nakueleza ukweli kwamba usije piga kelele humu kuwa umepoteza muda na.pesa zako huko.

Nakuasa tena kijana, kama umeamua kuwa mfugaji, mkulima, muuza duka, mchuuzi, nk endelea na biashara yako.
Hizi biashara za kuaminishwa kuna ela na kutajirika kwa haraka hamna kitu kama hicho.

Hakuna biashara rahisi, nawachana live, atakae pasuka, nuna, atajua mwenyewe.

Ukweli Mezani.
Naweka Kumbukumbu sawa!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa tumsikilize nani?
Anyway bado naendelea kuamini kanuni zangu kwamba,
1. Hakuna biashara nzuri wala mbaya. Wengine wanafunga biashara hiyo wengine ndo wanafungua.

2. Kabla hujajiingiza kwenye biashara mpya, fanya uchunguzi(Research) ya kutosha. Tafuta taarifa sahihi na muhimu. Usipende maneno matamu matamu tu kwenye biashara unayotaka kuingia, jiandae kupata chungu pia.

3. Kama hauko tayari kupoteza pesa yako kwenye biashara basi usiwekeze.

4. Usiitegemee fedha ya mtaji ktk biashara mpya kuendeshea maisha. Biashara ikifa basi na maisha yako yatayumba.

5. Yote tisa, ila ukitaka kuwa na pesa mingi mingi hakikisha chanzo/vyanzo vya kuingiza pesa ni vingi kuliko vya kutolea at the same rate.

Bado naendelea kuifatilia hii Forex, kwa waliofanikiwa na waliofilisika kupitia hii forex.

Nakufatilia mkuu ONTARIO

aeiou
 
Nasikia Forex, Nadex sijui nini.
Naona wengi wamemezwa na kampeni hiyo waki haidiwa kutajirika haraka.

Nakuasa kijana wangu, hakuna pesa rahisi, kila pesa ina jasho.

Ewe mwenye vipesa vyako vidogo usiingie kwenye biashara ambayo huijui na hujawa tayari kuipoteza hiyo pesa yako.

Huyo anaefanya kampeni ya Forex bado anakuambia analima na kufuga. Bado anakuambia forex inamuingizia mamilioni ya pesa. Kwanini asiachane na kilimo ambacho pesa yake huchukua muda mrefu kurudi?

Forex ni kama betting, ni km kamari tu, unapaswa kuwa na fedha ya ziada ambayo hata ikipotea huko haikuumizi kichwa.

Lakini kama ndio unategemea forex kama biashara yako ikutoe kimaisha, ikulishe, basi unapotea.

Sisemi hivi kwasababu ya chuki, au wivu, bali nakueleza ukweli kwamba usije piga kelele humu kuwa umepoteza muda na.pesa zako huko.

Nakuasa tena kijana, kama umeamua kuwa mfugaji, mkulima, muuza duka, mchuuzi, nk endelea na biashara yako.
Hizi biashara za kuaminishwa kuna ela na kutajirika kwa haraka hamna kitu kama hicho.

Hakuna biashara rahisi, nawachana live, atakae pasuka, nuna, atajua mwenyewe.

Ukweli Mezani.
Naweka Kumbukumbu sawa!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa kabisa.

Unasema hakuna pesa rahisi. Alafu hapo hapo unawachagulia vya kufanya!!!!!!!

Labda nikuambie kitu ndugu yangu, dunia ya leo inabadilika. Watu wanaenda na technology. Yaani hata uoto wa asili nao unabadilika.

Hatuna budi kubadili mifumo ya kufikiri pia.

Ni kweli forex ni ngumu ukiwa ndo unaanza. Ila ukishaizoea ni rahisi sana. Nina kama miezi minne sasa tangu niijue forex. Lakini naiona kesho yangu ikiwa kubwa.

Forex ni biashara kama biashara nyingine. Inahitaji muda, umakini na adabu. Hivyo usiwadanganye watu kuwa ni kamali.

Hata darasani hakuna somo rahisi. Lakini cha ajabu ni kwamba, lile somo unalofeli wewe, ndilo analofaulu mwenzako.

Mbali na yote, forex is not for everyone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakuelewa kabisa.

Unasema hakuna pesa rahisi. Alafu hapo hapo unawachagulia vya kufanya!!!!!!!

Labda nikuambie kitu ndugu yangu, dunia ya leo inabadilika. Watu wanaenda na technology. Yaani hata uoto wa asili nao unabadilika.

Hatuna budi kubadili mifumo ya kufikiri pia.

Ni kweli forex ni ngumu ukiwa ndo unaanza. Ila ukishaizoea ni rahisi sana. Nina kama miezi minne sasa tangu niijue forex. Lakini naiona kesho yangu ikiwa kubwa.

Forex ni biashara kama biashara nyingine. Inahitaji muda, umakini na adabu. Hivyo usiwadanganye watu kuwa ni kamali.

Hata darasani hakuna somo rahisi. Lakini cha ajabu ni kwamba, lile somo unalofeli wewe, ndilo analofaulu mwenzako.

Mbali na yote, forex is not for everyone

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona timu ya kampeni mmejipanga vizuri kula pesa za watu.

Naomba uzi huu uje kuwa fundisho kwa wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tumeshawasikiliza watu kama nyie sana tu, kimsingi shughuli yoyote unayoifanya ina "risk" kubwa tu ngoja nikupe mfano mmoja.

Sehemu nyingi sana za Mijini na Vijijini wapo Dada zetu pengine kwa ugumu wa maisha wanajihusisha kwenye kuuza miili yao ili wajipatie fedha, ila wanatambua wakifanya hivyo kuna hatari kubwa ya kuambukizwa maradhi ila hawaachi kufanya.

Forex ni biashara inayohitaji umakini, na muhusika aliwatahadharisha watu kuwa Forex si biashara ya kukufanya Tajiri kwa muda mchache hilo tunalifahamu na ndiyo maana tumejianda kuifanya, ww usietaka kufanya kwa kuogopa "risk" basi endelea kugombania "remote" na wadogo zako mkisubiri ugali wa kengele.
 
Naona timu ya kampeni mmejipanga vizuri kula pesa za watu.

Naomba uzi huu uje kuwa fundisho kwa wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna timu ya kampeni mkuu hapa.

Nipo kuusema ukweli.

Forex ni maisha kama ukitia nia na kusema unaweza.

Kama ni ugumu, hata kilimo ni kigumu.

Hivyo basi, inabidi tufundishane adabu na uvumilivu kwenye mafanikio.

Labda wewe ulilipokea kwa njia ya tofauti hili suala la forex. Ukadhani utakua tajiri baada ya wiki moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna timu ya kampeni mkuu hapa.

Nipo kuusema ukweli.

Forex ni maisha kama ukitia nia na kusema unaweza.

Kama ni ugumu, hata kilimo ni kigumu.

Hivyo basi, inabidi tufundishane adabu na uvumilivu kwenye mafanikio.

Labda wewe ulilipokea kwa njia ya tofauti hili suala la forex. Ukadhani utakua tajiri baada ya wiki moja

Sent using Jamii Forums mobile app
wabongo waoga sana

aeiou
 
Salute mkuu kwa uzi huu, wabongo ss ni watu wa kupenda mteremko ktk maisha. Forex sio utajir wa haraka kama tunavyofikir, kuna baadhi ya watu humu wanadiriki kusema wamepoteza muda kwenda chuo kusoma wangeijua forex mapema. Hata vitabu tunavyosoma na research zilizofanywa vinasema ONLY 10% wanapiga hela kwenye forex hao ni baada ta kupoteza sana tu na kutrade miaka na miaka. Ewe kijana tazama usiangukie kwenye hao 90% wanaopoteza kila kukicha. Ambayo ni MOST LIKELY. TIME WILL TELL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kweli unachokisema kuwa hakuna hela nyepesi lkn kumbuka watu wawili wanaweza kulima mmoja akavuna sana mwengine kidogo! sbb zinatofautiana risk lzm iwepo,hata jamaa alishaelezea.
sikutukani ila watu wanatofautiana ujuzi huyu anaweza kulima hivi na huyu vile kutokana na ujuzi wao wakapata matokeo tofauti..

hakuna haja ya kukukejeli ila kuna haja ya kukushukuru kwa kutaadharisha watu asante.
 
Nasikia Forex, Nadex sijui nini.
Naona wengi wamemezwa na kampeni hiyo waki haidiwa kutajirika haraka.

Nakuasa kijana wangu, hakuna pesa rahisi, kila pesa ina jasho.

Ewe mwenye vipesa vyako vidogo usiingie kwenye biashara ambayo huijui na hujawa tayari kuipoteza hiyo pesa yako.

Huyo anaefanya kampeni ya Forex bado anakuambia analima na kufuga. Bado anakuambia forex inamuingizia mamilioni ya pesa. Kwanini asiachane na kilimo ambacho pesa yake huchukua muda mrefu kurudi?

Forex ni kama betting, ni km kamari tu, unapaswa kuwa na fedha ya ziada ambayo hata ikipotea huko haikuumizi kichwa.

Lakini kama ndio unategemea forex kama biashara yako ikutoe kimaisha, ikulishe, basi unapotea.

Sisemi hivi kwasababu ya chuki, au wivu, bali nakueleza ukweli kwamba usije piga kelele humu kuwa umepoteza muda na.pesa zako huko.

Nakuasa tena kijana, kama umeamua kuwa mfugaji, mkulima, muuza duka, mchuuzi, nk endelea na biashara yako.
Hizi biashara za kuaminishwa kuna ela na kutajirika kwa haraka hamna kitu kama hicho.

Hakuna biashara rahisi, nawachana live, atakae pasuka, nuna, atajua mwenyewe.

Ukweli Mezani.
Naweka Kumbukumbu sawa!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania ni wepesi sana kusahau. Kipindi cha Deci ulikua humwelezi mtu asicheze akakuelewa. Hii thread itabaki kuwa reference.,
*kamari chezesha, usicheze*
 
Back
Top Bottom