E ericford JF-Expert Member Jul 15, 2014 265 68 May 26, 2015 #1 hivi wanafanya makusudi au.. Attachments 1432641392957.jpg 41.6 KB · Views: 707
nchelegwanzingi JF-Expert Member May 19, 2013 468 277 May 26, 2015 #2 Duh ngoja nitafute dictionary kwanza narudi
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,250 113,636 May 26, 2015 #3 ericford said: hivi wanafanya makusudi au.. Click to expand... Inawezekana kabisa akawa anafanya makusudi akijua kuna watu mta react na kumzungumzia.
ericford said: hivi wanafanya makusudi au.. Click to expand... Inawezekana kabisa akawa anafanya makusudi akijua kuna watu mta react na kumzungumzia.
Leak JF-Expert Member Feb 22, 2012 52,211 42,072 May 26, 2015 #4 Mnacho takiwa kujua huyu na Mkewe wana tafuta kiki kwa nguvu hakuna cha kukosea kingereza wala nini..! Pengine hawajui kweli lakini wana zidisha ili waongelewe ...
Mnacho takiwa kujua huyu na Mkewe wana tafuta kiki kwa nguvu hakuna cha kukosea kingereza wala nini..! Pengine hawajui kweli lakini wana zidisha ili waongelewe ...
Excel JF-Expert Member Jul 8, 2011 19,745 10,078 May 26, 2015 #5 Dah! Ama kweli duka limejaaa!!! Ndorobo wapo wengi kweli kwenye tasnia yetu..
Amber rose Member May 8, 2015 39 18 May 26, 2015 #6 Ruttashobolwa said: Mnacho takiwa kujua huyu na Mkewe wana tafuta kiki kwa nguvu hakuna cha kukosea kingereza wala nini..! Pengine hawajui kweli lakini wana zidisha ili waongelewe ... Click to expand... Wanatafuta kiki hicho kiingreza walikijua lini,yaan hapo sio kujifanyisha Bali ni hawajui tu
Ruttashobolwa said: Mnacho takiwa kujua huyu na Mkewe wana tafuta kiki kwa nguvu hakuna cha kukosea kingereza wala nini..! Pengine hawajui kweli lakini wana zidisha ili waongelewe ... Click to expand... Wanatafuta kiki hicho kiingreza walikijua lini,yaan hapo sio kujifanyisha Bali ni hawajui tu
Money Stunna JF-Expert Member Aug 9, 2011 13,054 6,281 May 26, 2015 #8 Diamond alianza hivyo hivyo hadi akajua,nyie mnaocheka mnaishia kutokujua kabisa
Jambazi JF-Expert Member Jan 18, 2014 16,642 18,643 May 26, 2015 #9 Kwa mfano tukiwapuuzia na kutowajadili hapa itakuaje?