Hivi ni kihoja au Kioja?Moshi eneo la coffee curing kiwanda kuna mti unawaka moto leo siku ya tatu na hauungui wala majani hayakauki,fire wamejaribi kuzima lakini wapii.source millard ayo
Weka videoMoshi eneo la coffee curing kiwanda kuna mti unawaka moto leo siku ya tatu na hauungui wala majani hayakauki,fire wamejaribi kuzima lakini wapii.source millard ayo
Huyu mleta mada bure kabisaPicha tafadhali. Kaichukue hata huko kwa Milard ili tujionee na sie.
SawaHuyu mleta mada bure kabisa
Achana picha video hii hapa.View attachment VIDEO_1544274769309.mp4Hii habari kama haina picha ni chai.
Mkuu millard kaweka video sio picha kweny ukurasa wake wa insagram nashindwa kuiupload hapaThread kama hii huweki picha?? Unataka matusi
Wala sio Kihoja, ama Kioja, bali ni Kiloja.Hivi ni kihoja au Kioja?
Moshi eneo la coffee curing kiwanda kuna mti unawaka moto leo siku ya tatu na hauungui wala majani hayakauki,fire wamejaribi kuzima lakini wapii.source millard ayo
Mmh. Mbona kama kinachowaka sio mti wenyewe kuna kitu ndani?Achana picha video hii hapa.View attachment 960371
Imeshawekwa video. Post no #12Huyu mleta mada bure kabisa
Inawezekana ikawa hivyo, unavyoona, ila hata mimi sijaona live, huo mti, bali nimweka tu hii video hapa, sababu kuna watu walikua wanahitaji kuiona.Mmh. Mbona kama kinachowaka sio mti wenyewe kuna kitu ndani?
Oooh. Usijali Boss.Inawezekana ikawa hivyo, unavyoona, ila hata mimi sijaona live, huo mti, bali nimweka tu hii video hapa, sababu kuna watu walikua wanahitaji kuiona.