King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Nimesikiliza na akaongezea sugu kabebwa msobemsobe je ni kweli kuhusu sugu?
ameboreshaje mkuu? Je kwa hayo hayo matusi ya rejareja?Tumemsikia Mh Dr Kigwagangala....Salute kwake. Amesaidia sana kuboresha mswada unaojadiliwa... Naamini mchango wake utasaidia sana kwenye kupatikana kwa katiba mpya
sikatai kwamba kakose asasa je kanuni za bubge zinaruhusu personal attack??
kama alikosea angetakiwa aomabe mwongozo ili adhibiwe ipasavyo kuliko kumtusi sasa kumtusi huoni kajidhalilisha yeye mtukanaji??
teh teh, nini maana ya kiongozi mkubwa?Sikia mamiiii nikwambie,Mbowe ni muhuni na alitka kuonesha uhuni wake bungeni huu ni ujinga mwingine unaooneshwa na kiongozi ambaye anaaminika kwamba ni mkubwa hapa nchini.
nonsense.
amepatia wapi? Any way muunge mkono na miguu huyo mlundi mwenziye mkuu!Kigwangala amepatia sana namuunga mkono Mia
mi nadhani huyu mlundi ni zaidi ya muhuni mkuu...anayepaswa kupimwa, tena haraka ni yule kiongozi wa genge la wahuni aliyetolwa nje ya bunge asubuhi
teh teh, nini maana ya kiongozi mkubwa?
mi nadhani huyu mlundi ni zaidi ya muhuni mkuu...
kweli ccm ni janga! Kuna asiye mjinga?Mbowe ni mjinga narudia tena huu ni ujinga mwingine ambao unaoneshwa na mtu ambaye anategemewa na watanzania walio wengine.
t.lussu alishapimwa na sasa
anatumia dozi japo huwa anatoroka, na dokta wake ni kigwangalla. Hata
hao wahuni wengine akina mbowe na wenzake watapimwa tu. Mia