Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na Clouds TV, Juni 18, 2025, amesema;
"Chama cha Mapinduzi CCM hakimzuii mtu kuhoji. Mtu yoyote anaweza kuhoji chochote na hakatazwi yoyote. Mfano Luhaga Mpina anaongea ulishawahi kusikia amekatazwa na mtu kuongea? Hata juzi ameunga mkono alichokisema Askofu Gwajima. Kushughulikiwa wapi? Mh. Luhaga Mpina si yupo? Gwajima hajashughulikiwa!!
"Umesikia Chama kimesema chochote?? Na Chama hakijasema chochote na CCM ni dude kubwa, kama asiposema Mama (Samia Suluhu Hassan) ina maana CPA Amos Makalla angekuwa ameshasema chochote"
"Chama cha Mapinduzi CCM hakimzuii mtu kuhoji. Mtu yoyote anaweza kuhoji chochote na hakatazwi yoyote. Mfano Luhaga Mpina anaongea ulishawahi kusikia amekatazwa na mtu kuongea? Hata juzi ameunga mkono alichokisema Askofu Gwajima. Kushughulikiwa wapi? Mh. Luhaga Mpina si yupo? Gwajima hajashughulikiwa!!
"Umesikia Chama kimesema chochote?? Na Chama hakijasema chochote na CCM ni dude kubwa, kama asiposema Mama (Samia Suluhu Hassan) ina maana CPA Amos Makalla angekuwa ameshasema chochote"