Kuna habari nilipashwa, kuna kamishna mmoja TRA muda wake uliisha; yeye akajua kama kawa kama dawa wataongeza ungwe ya pili...alipopewa barua aachie ofisi kaomba wampe miezi kadhaa aweke data sawa...miezi imeisha jamaa anaendelea kwenda job
Walichofanya walibadili kitasa...alichokaje....si mnajua mishahara yao ya milioni 15 kuachia ngazi ni ngumu saaana...
Huyo alikuwa naibu kamishna mkuu, anaitwa P. Luoga.