Safari imekwiva! Niagieni niagieni, niagieni na rafiki zangu wapora mali za watz kwa malipo ya tshirt, skafu na khanga.
Ninasema niagieni, niagieni, niagieni na wafufua umeme wa dharura, niagieni niagieni.
Niagieni, niagieni na wawekezaji ktk migodi ili hali wakiwa ikulu niagieni, niagini.
Niagieni niagieni na waanzisha NGO na wafanya biashara wakubwa pale magogoni, niagieni niagieni.
Niagieni, niagieni, niagieni, niagieni orodha ya madudu ni ndefu, nasema niagienu, niagieni.
Niagieni siwezi rudi kwenye mstari kwa utumbo nilofanyia watz, nasema niagieni, niagieni.
Niagieni niagieni naenda kuwa chama cha upinzani, nasema niagieni, niagieni.
Tehe tehe teheeee, sikio la kufa!