Kigari changu cha mchepuko

Kigari changu cha mchepuko

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
BqSXCAFIEAEW-wa.jpg
 
Kweli umechepuka na kupaki eneo la waendao kwa miguu
 
Naogopa vigari vya milango miwili, naona kama nikipanda nyuma nazimia.
 
Naogopa sana sehemu zilizo confined, hamna dirisha, siwezi kuona nje, lift napanda sababu basi tu, na mara nyingi napenda ngazi.

Imagine siwezi ingie club, pamoja na hobi kuwa hafifu lakini pia sioni madirisha.

Anyway, am vere oldi.

I wanna study you, and i will graduate

Nimechekaje..... hii Kali
 
Katika magari nisiyopenda hata kuyaona ni hayo ya milango 2, yaani upo na mke halafu umemkuta jirani yako njiani ananyeshewa na mvua anakuomba msaada. Ili umchukue/umshushe inabidi aliyekaa kiti cha mbele ushuke kwanza aloe maji ili yeye aingie kwanza halafu aliyekaa kiti cha mbele arudi kwenye kiti chake...

Na ukinipa lifti labda nikae kiti cha mbele, nahofia ikitokea dharura yoyote jinsi ya kutoka shughuli yake kubwa....
 
Naogopa sana sehemu zilizo confined, hamna dirisha, siwezi kuona nje, lift napanda sababu basi tu, na mara nyingi napenda ngazi.

Imagine siwezi ingie club, pamoja na hobi kuwa hafifu lakini pia sioni madirisha.

Anyway, am vere oldi.

Sawa mama wa oldi skuli
 
Back
Top Bottom