Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Inasemekana kupandishwa kwa tozo ya kivuko Kigamboni ni KIASHIRIA chA shuruti ya kuhama kumpisha George Bush (mmiliki) ambaye alikuja kupakagua hivi karibuni................by implications bei za nauli za dalax2, bidhaa za madukani na sokoni etc zinatarajiwa kupanda pia kufidia tozo la mizigo ya kivuko..........ama badu MAISHA KWA UJUMLA YANATARAJIWA KUPANDA SANA......yamkini si shwari tena Kigamboni.............Yasemekana hata Mh Mbunge ameshanusa dalili ya kuhamia VITI MAALUM kwa kukosa JIMBO ndi maana anashikia Bango
Nachokoza tu!!!
Nachokoza tu!!!