Kigamboni waanza kuhamishwa KIAINA

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,145
13,216
Inasemekana kupandishwa kwa tozo ya kivuko Kigamboni ni KIASHIRIA chA shuruti ya kuhama kumpisha George Bush (mmiliki) ambaye alikuja kupakagua hivi karibuni................by implications bei za nauli za dalax2, bidhaa za madukani na sokoni etc zinatarajiwa kupanda pia kufidia tozo la mizigo ya kivuko..........ama badu MAISHA KWA UJUMLA YANATARAJIWA KUPANDA SANA......yamkini si shwari tena Kigamboni.............Yasemekana hata Mh Mbunge ameshanusa dalili ya kuhamia VITI MAALUM kwa kukosa JIMBO ndi maana anashikia Bango

Nachokoza tu!!!
 
Inasemekana kupandishwa kwa tozo ya kivuko Kigamboni ni KIASHIRIA chA shuruti ya kuhama kumpisha George Bush (mmiliki) ambaye alikuja kupakagua hivi karibuni................by implications bei za nauli za dalax2, bidhaa za madukani na sokoni etc zinatarajiwa kupanda pia kufidia tozo la mizigo ya kivuko..........ama badu MAISHA KWA UJUMLA YANATARAJIWA KUPANDA SANA......yamkini si shwari tena Kigamboni.............Yasemekana hata Mh Mbunge ameshanusa dalili ya kuhamia VITI MAALUM kwa kukosa JIMBO ndi maana anashikia Bango

Nachokoza tu!!!

unachokoza meanz what?
Kwa kupanda gharama nakubali,wana KG wajiandae
 
Inasemekana kupandishwa kwa tozo ya kivuko Kigamboni ni KIASHIRIA chA shuruti ya kuhama kumpisha George Bush (mmiliki) ambaye alikuja kupakagua hivi karibuni................by implications bei za nauli za dalax2, bidhaa za madukani na sokoni etc zinatarajiwa kupanda pia kufidia tozo la mizigo ya kivuko..........ama badu MAISHA KWA UJUMLA YANATARAJIWA KUPANDA SANA......yamkini si shwari tena Kigamboni.............Yasemekana hata Mh Mbunge ameshanusa dalili ya kuhamia VITI MAALUM kwa kukosa JIMBO ndi maana anashikia Bango

Nachokoza tu!!!
Huyo Bush kama unachuki nae kiasi hicho kwa nini umrushie tu kiatu yaishe!!!??? tena baadae kitanadiwa kwa mamillioni na utakuwa tajiri lol!!!
 
Back
Top Bottom