Habari zenu, nimeona kwenye mtandao mmoja huku team nyingi za riadha kutoka Tanzania zimejiandikisha kushiriki Kigali Peace Marathon..
Kama mwenzenu ningeomba mnitumie kutafuta affordable accomodation huku..
Vilevile kuna comission kwa atakayeniunganisha na group au watu watakao kuja..
Ndio biashara yangu huku nina tour company..
Regards..