Jamani acheni masihara!Cha Dar kinazidiwa hata na cha Musoma Airport.
Ukweli mtupu.acha kufananisha Kigali na upuuzi. hapo JNIA ni wizi tu wanachojua. vyoo navyo ni aibu nyingine
Terminal three Ina nini cha kujivunia? Itakaa muda gani kabla haijachakaa na kuwa typical bongo?Dar uwanja wa zamani mnafananisha na uwanja wa kigali mpya hauna hata miaka 5........subiri terminal 3 ikamilike ndio uje
Mh.. Unanichekesha Mkuu.. Kile kidogo sana. Ni kama nyumba ya familia.au afananishe na Dodoma airport
Mbona umemkasilikia sana jamaa? Tangu Uhuru kwani KODI ilikuwa hailipwi? kuna kipi cha maana kimefanyika ikiwa hata Madawati tumeshinfwa...Nyie ni wanyarwada ama watanzania ama wakenya. Nonsence should start from your brain. Wanyarwanda ni wazalendo wanalipa kodi bila kusukumana. Wewe unayeongea hapo ni mkwepa kodi mkubwa then unalalamika uwanja mbaya. Unasifia vitu ambavyo wanaume wenzako wamefanya. Utaolewa. I hate watu ambao wanasifia nchi zingine na kuponda nchi yao