Kifutio cha tendo la ndoa

Kifutio cha tendo la ndoa

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,898
Reaction score
14,604
Ma Bibi na Ma Bwana,kwa mtu yeyote aliye Vunja ungo au kubalehe,hapan'shaka tambara hili atakuwa na ufahamu nalo.

Kumtukana mtu mzima waziwazi na kumsimanga kila uchao,matokeo yake ndio hayo.

Dirty-Wash-Cloth-Eco-Savy.jpg

 
Matusitusi kuyatolea mfano hata ungelikuwa ni mfano wa jambo jema ni ukengeuku uliopitiliza.
 
Kwamba nape alimtukana sana lowasa enzi zile, so ametumiwa kama hilo tambala baada ya tendo now hana chake kaeenda kutupwa bafuni kama aavyoonekana pichani.
Wewe acha u teenage, kitambaa cha kufutia shahawa huwa hakitupwi bafuni, kinafuliwa na kutumikatena na tena na tena, nyinyi watoto mmezoea condom tu ndo mwajua kuwa zatupwa, mfano uloutoa wala haufanini na matumizi ya kitambaa hicho, ndo maana nikasema mtoa mada katoka kutombana sasa kashika kitambaa kamaliza kujifuta akajikuta kapost bila hata kutafakari.
 
Ma Bibi na Ma Bwana,kwa mtu yeyote aliye Vunja ungo au kubalehe,hapan'shaka tambara hili atakuwa na ufahamu nalo.

Kumtukana mtu mzima waziwazi na kumsimanga kila uchao,matokeo yake ndio hayo.

Dirty-Wash-Cloth-Eco-Savy.jpg
Vijana hawawezi kuelewa...Na kukubali kutumika kote kule huku akijua wazi anatoka nje ya maadili achilia mbali utu malipo yake ndo haya kageuzwa kifutio cha spea za ndoa ambacho mahala pake ni bafuni tu...sad kwa Nape!
 
Shuleni kwetu ilikuwa mwalimu anasahisha madaftar,notes zilizoandikwa kwa mwandiko mzuri aliweka excellent, au good ila wenye mwandiko kama wako mtoa mada ilipata neno SEEN
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom