Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Wapendwa..
nimeinasa asubuhi redioni katika hekaheka za kusaka ugali wa kila siku....
Zaidi ya asilimia 50 ya vdume waliopima vinasaba(DNA) vya watoto, wameonekana si baba halisi(kibaiolojia) wa watoto wao...
Wadau..ingekuwa wewe ndo mmoja wao hao wazazi wa kiume....ungefanyaje...?
Kwa wale tunaotafuta yule alopew sehemu ya ubavu wet na muumba...hii ni ishara gani?tutaikabilije?
NAWAPENDENI SANA...WKEND NJEMA!!
nimeinasa asubuhi redioni katika hekaheka za kusaka ugali wa kila siku....
Zaidi ya asilimia 50 ya vdume waliopima vinasaba(DNA) vya watoto, wameonekana si baba halisi(kibaiolojia) wa watoto wao...
Wadau..ingekuwa wewe ndo mmoja wao hao wazazi wa kiume....ungefanyaje...?
Kwa wale tunaotafuta yule alopew sehemu ya ubavu wet na muumba...hii ni ishara gani?tutaikabilije?
NAWAPENDENI SANA...WKEND NJEMA!!