Nimeshajaribu kwenda kwa haya makampuni yanayo toa huduma za Fibre to home, na Majibu yao ni kuwa hawafikii maeneo nje ya city centre. Wateja wao ni Masaki, Oyster Bay n.kKama mtu unamatumizi ya GB 100 kwa mwezi bora ufunge WiFi
jaribu TTCL mkuu kwa bajeti hio nizaidi ya kitonga labda kama eneo ulilopo sio rafikiNimeshajaribu kwenda kwa haya makampuni yanayo toa huduma za Fibre to home, na Majibu yao ni kuwa hawafikii maeneo nje ya city centre. Wateja wao ni Masaki, Oyster Bay n.k
Na of course hiyo line itakaa kwenye Wi-Fi router.
Kabisa. This is really good. Ngoja nijionee mwenyewe
Nilienda ofisini kwao Ijumaa wakaniambia leo ndio zitakuwepo. It's interesting sema kuna kamchezo kachafu sana nimekagundua wanakacheza hapa...UPDATE: Naona Tigo wame launch hii huduma ya Home Internet leo rasmi. Mi fi - 125,000 pamoja na 40 GB bure na Router - 250,000 unapewa 100 GB. Mnaweza kuangalia Launch event katika Instagram page yao: https://www.instagram.com/tigo_tanzania/?hl=en walivyo elezea kila kitu .View attachment 1196579View attachment 1196581View attachment 1196582View attachment 1196583
Hata Mimi niliona mkuu, Kuna usanii Fulani, Hapo Ni nusu kwa nusu, hivyo vinakuwa sio value for money kucompare na vifurushi vyengine.Huu sio usanii kweli. Kuna vifurushi vya wiki na vya mwezi, vya wiki unapata cha 25k-40GBs ila only 20Gigs ndio unaweza kuzitumia mchana, zingine zote zinatumia usiku saa sita mpaka saa kumi na mbili. Same goes kwa package zingine za juu ya hapo. Ni unapata nusu ya size hiyo mchana. I mean i am a night owl and will probably use zote hizo za usiku lakini this is cheating ase. Wanadanganya watu kwa kutoweka this fact clear.
cc: Chief-Mkwawa utakuja
View attachment 1196713 View attachment 1196714
Aisee niliona, sasa mbaya zaidi ni huo muda walioweka saa 6 usiku yani dah! Zamani huu muda ulikuwa sio tatizo kwangu lakini now labda Friday na Saturday ndiyo hizi GB nitaweza kuzifahidi.Huu sio usanii kweli. Kuna vifurushi vya wiki na vya mwezi, vya wiki unapata cha 25k-40GBs ila only 20Gigs ndio unaweza kuzitumia mchana, zingine zote zinatumia usiku saa sita mpaka saa kumi na mbili. Same goes kwa package zingine za juu ya hapo. Ni unapata nusu ya size hiyo mchana. I mean i am a night owl and will probably use zote hizo za usiku lakini this is cheating ase. Wanadanganya watu kwa kutoweka this fact clear.
cc: Chief-Mkwawa utakuja
View attachment 1196713 View attachment 1196714
Vodacom watuletee broadband Kama ya safaricom Kenya 5mbps kwa 50,000.Lakini nimefurahi sana kwa kuwa huu ni mwanzo mzuri.
Now nasubiria Vodacom, Airtel, TTCL etc. waje na kitu Chao similar to this.
Aisee niliona, sasa mbaya zaidi ni huo muda walioweka saa 6 usiku yani dah! Zamani huu muda ulikuwa sio tatizo kwangu lakini now labda Friday na Saturday ndiyo hizi GB nitaweza kuzifahidi.
Hata Mimi niliona mkuu, Kuna usanii Fulani, Hapo Ni nusu kwa nusu, hivyo vinakuwa sio value for money kucompare na vifurushi vyengine.