Mimi nilidhani mwenyekiti wako! Sivyo?Mwenyekiti wa nani?
sawa gentleman,Kwenda zako, kula kona
nashukuru mzee wa porojoToa pumba zako hapa
Wanatunyima haki zetu za msingi, wanatunyanyasa, wanatudhalilisha, wanatutesa, wanatuibia rasilimali na maliasili zetu, WANATUUA!Kifo Kiko na Hakichagui.
May Your Souls RIP waheshimiwa wa Wabunge.
11 Dec,2025 - Jenista Mhagama
18 Jan,2026 - Halima Idd Nassoro (viti Maalumu)
03 Feb, 2026 - Munde Tambwe (viti Maalumu Tabora, Bunge lililopita).
25 March,2026 - William Lukuvi.
Naona kila mwez Azrael anawatembelea na wao,
Death is Real and Randomly.