Thread nyingine! :nono::nono: tittle kama watu wanafanya kazi kwa Shigongo!
jamani hawakuw wameshaanza kuduu, kwani binti ni mdogo sana hata hapa si unamuona?
tusimhukumu kanumba huyu binti ni muongo sana hata polisi aliwadanganya umri anasema ana miaka 18 ili aonekane ni mkubwa kisheria!inawezekana kabisa alimdanganya hata umri kanumba,ikiwa alikuwa anaendesha na gari na leseni anayo alikwezaje kuipata hii leseni kama hakudanganya umri,yaani ana mengi ya kujibu atakayoyaibua yeye mwenyewe!
tusimhukumu kanumba huyu binti ni muongo sana hata polisi aliwadanganya umri anasema ana miaka 18 ili aonekane ni mkubwa kisheria!inawezekana kabisa alimdanganya hata umri kanumba,ikiwa alikuwa anaendesha na gari na leseni anayo alikwezaje kuipata hii leseni kama hakudanganya umri,yaani ana mengi ya kujibu atakayoyaibua yeye mwenyewe!
Mzee wa Lulu aone aibu mtoto kamharibikia harafu anashangaa nini? ina maana hukujua mienendo ya binti yako? Saa sita usiku alikuwa anafundishwa nini na huyo Mwalimu? Mzee Lulu, eti ulidhani mwalimu?? aibu kubwa.
Wazazi mnawatenga watoto kiana harafu baadaye mnajifanya hamnazo, picha za ngono kwenye mtandao hujaziona za mwanao, hujui nini? Kwenu mtoto under 18 anapiga picha za uchi anaweka kwa mtandao, harafu unashangaa kuwa na mabwana?? acha kuzuga heri ukae kimya unaweza kuonekana unaakili kidogo, mtoto ni mchafu sana ndo maana yanamkuta machafu, amini usiami;
mhh mbona sielewi jamani!au walikuwa wanaigiza hapa?
Watanzania tuna tabia ya kuharalisha mambo inapotokea muhusika ni kipenzi chetu na amekumbwa na mauti....ki- ukweli Marehemu Kanumba alikuwa mbakaji (ni binti wa miaka 17)!!
Baba wa Lulu anasema anamfahamu marehemu Kanumba kama Mwalimu...kumbe alikuwa ana-mbaka bintie...lol
[/QUOT
pamoja sana
Mzee wa Lulu aone aibu
mtoto kamharibikia harafu anashangaa nini? ina maana hukujua mienendo
ya binti yako? Saa sita usiku alikuwa anafundishwa nini na huyo Mwalimu?
Mzee Lulu, eti ulidhani mwalimu?? aibu kubwa.
Wazazi mnawatenga watoto kiana harafu baadaye mnajifanya hamnazo, picha
za ngono kwenye mtandao hujaziona za mwanao, hujui nini? Kwenu mtoto
under 18 anapiga picha za uchi anaweka kwa mtandao, harafu unashangaa
kuwa na mabwana?? acha kuzuga heri ukae kimya unaweza kuonekana unaakili
kidogo, mtoto ni mchafu sana ndo maana yanamkuta machafu, amini
usiami;