Wakuu, Ila Kwa Story Nilizoziona na Zinaendelea Kusemwasemwa Hapa Mjini, Basi Mzee Mengi Atakuwa aliwadinya Sana Mabinti Wengi Wa Mjini
Ila Kwa Hali Ya Sasa Imekuwa Tofauti, Vijana Wengi Wanataka Wamama Kuanzia Age Ya 40+ na Wazee Wa Makamo Nao Wanataka Mabinti Wa Kuanzia Age Ya 30-, ni Shida Sana