Kifo cha CCM kimetimia


Hiyo tathimini umeifanyia wapi?
 
Hao wengine wapo kwasababu kuna pesa za burebure.
 
Kwanini msiseme chadema ndio mabadiliko badala yake eti lowasa ndio mabadiliko, kwahiyo lowasa ndiye maarufu kuliko chama kwa msingi huo hamna chama tena na hilo ndio kosa mtalojutia baada ya 25 October

Chagua Magufuli mara Serikali ya Magufuli itakua ya viwandaa.. siyo Chagua CCM tena anajua ukiwatajia watu CCM wanaondoka kwenye Mikutano.. ha ha ha haaa... Mwenyekiti kaua chama chetu CCM.
 
wewe usiyefuatilia ccm ndo unasema ccm imekufa ila kwa wale wanaokifuatilia hakijafa labda tu kwa kuwa umeegemea kwa lowasa ndo mana unasema kimekufa.....subiri tar 25 ndo upate jibu kuwa ccm imekufa ikiwa lowasa atakuwa raisi wa tz lakini sio kwa sasa ambapo kila mmoja anawika kwa staili yake.
 
Lowasa mbaya sana guyz yan ccm imesahaulika km masiara vle dah
 
udoso mnasema nini kuhusu hao wadogo zenu coz mnaonekana mnahisia sana au ndo mnaunga mkono maneno ya baba jeska
 
Ongeza na mgogoro wa sukari ( wala si uhaba wa sukari ) .
 
Ongeza na mgogoro wa sukari ( wala si uhaba wa sukari ) .
Huo mgogoro ni mafisadi baada ya kunyongwa wanapiga mateke ya mwisho mwisho angalau wafe kiume....

Tupo imara...tumeziba mianya yote, heshima ya kazi imerudi kwakua hakuna vya bure tena...kila mtu atajikuta anaingia kufanya kazi ili kujikimu....bado tunasonga mbele...HAPA KAZI TU!
 
Mwisho wa mafisadi ni kurejesha Azimio la Arusha na kufufua Regional Trading Company (RTC).
 
Mwisho wa mafisadi ni kurejesha Azimio la Arusha na kufufua Regional Trading Company (RTC).
Tutazifufua kwa style mpya ya PPP...usijali tupo makini tunasonga mbele nyuma mwiko....
 
Huyu mtu yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…