Kifesi: Sina mazoea na Harris na ile sauti sio yangu

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,382
Unajua kifesi kwenye ile Audio alikua anampa mtu umbea tu kwenye simu , hakujua kama anarekodiwa, so akawa anaropoka umbea wote, hata nahis baadhi ya mambo alikua anaficha, Ila hawa watakua tu wamefanyana na kuna sehemu walipishana kiswahili Ndo mambo yakatindinganya.

Kifesi ile sauti ni yako bwana usikatae, eti sasa hvi unajifanya kuweka kibez hili utuchanganye wanazengo.

Na nasikia kumbe Ndo michezo Yenu na kapiga , na haujamjua Jana wala Leo , yani mnaenda kufanya ujinga uko mnapewa pesa halafu baadae mnaenda kupiga umbea kwa watu eti kakubaka, na sura ilivyokukomaa wewe akubake nani ?

Na nasikia sio kapiga tu ndo michezo yako kumbe na wewe, mi nilikua nakutetea mxiew zako mtu mzima hovyo
 
Unajua kifesi kwenye ile Audio alikua anampa mtu umbea tu kwenye simu , hakujua kama anarekodiwa, so akawa anaropoka umbea wote, hata nahis baadhi ya mambo alikua anaficha, Ila hawa watakua tu wamefanyana na kuna sehemu walipishana kiswahili Ndo mambo yakatindinganya.

Kifesi ile sauti ni yako bwana usikatae, eti sasa hvi unajifanya kuweka kibez hili utuchanganye wanazengo.

Na nasikia kumbe Ndo michezo Yenu na kapiga , na haujamjua Jana wala Leo , yani mnaenda kufanya ujinga uko mnapewa pesa halafu baadae mnaenda kupiga umbea kwa watu eti kakubaka, na sura ilivyokukomaa wewe akubake nani ?

Na nasikia sio kapiga tu ndo michezo yako kumbe na wewe, mi nilikua nakutetea mxiew zako mtu mzima hovyo
Hata wewe unaonekana hauna tofauti nao wote ni mipunga na Michele tu
 
Back
Top Bottom