Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Nimekuwa nikifuatilia sana mambo yanavyoenda ndani ya serikali na kujaribu kufikiria ni nini kitampata magufuli endapo atathubutu kulivunja jengo la tanesko pale ubungo.
najiuliza au wanataka mwenyewe afe ndo wajifanye sheria inachukua mkondo?
hatukatai limejengwa kinyume na sheria lakini wakati wanampa vibali walikuwa hawaoni?
mimi nawaomba walivunje sasa kwani wataiokoa tanesko na mzigo batili wa kodi ya jengo kwani najua kwa uchakachuaji wa sasa kodi ya mwaka mmoja wanaweza kujenga jengo lao.
na namwahidi magufuli akilivunja kwa sasa anipatie kadi ya ccm.
najiuliza au wanataka mwenyewe afe ndo wajifanye sheria inachukua mkondo?
hatukatai limejengwa kinyume na sheria lakini wakati wanampa vibali walikuwa hawaoni?
mimi nawaomba walivunje sasa kwani wataiokoa tanesko na mzigo batili wa kodi ya jengo kwani najua kwa uchakachuaji wa sasa kodi ya mwaka mmoja wanaweza kujenga jengo lao.
na namwahidi magufuli akilivunja kwa sasa anipatie kadi ya ccm.