Kiduku cha babu yangu


Aje ofisini kwangu hivyo!??? atajuuta, ntamlamba viboko ikiwezekana ntamng'ata kabisa ili asijerudia tena
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa nae mmoja nilipokuwa mwaka wa kwanza alikuwa ananiweka mjini

Mwaka wa kwanza wa nini!!!?, kwa hiyo ukaona kadri siku zinavyosonga ndo nguvu zinaongezeka?? vipi ulimtosa au bado mnaendeleaga!??
 
Mwaka wa kwanza wa nini!!!?, kwa hiyo ukaona kadri siku zinavyosonga ndo nguvu zinaongezeka?? vipi ulimtosa au bado mnaendeleaga!??

Mwaka wa kwanza wa masomo chuo kikuu...
 
Hizo nywele kama mashamba ya chai kule Lushoto...
 
Hao wazee wa ajabu ajabu kadiri wanavyo zeeka ndio nguvu za kiume na hamu ya ngono vinavyo ongezeka
Is it ?,kisayansi inaleta maana?au ndiyo mambo ya wazee wa siku hizi!!
 
Kiswahili bwana ahhh. au wee huvionagi vile vibao vya waganga wanao ongeza nguvu za kiume?
Mkuu giLESi nimekusoma vizuri,siku hizi kuna waganga wakienyeji ambao wanajifanya wajuzi sana wa mambo hayo!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…